Rai: Waziri aliyetuma SMS kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo awajibishwe!

Who ever sent an alert to Mag Chuwa by sms MUST be punished and not only by removing him/her from the post but should be banished in her/his rural village with conditions. It is very clear that the responsible minister is trying to undermine the good deeds of Dr Magufuli and the honorable Premier! those who advised and supervised the demolition of houses without prior warning and arranging for temporary shelters for the victims also fall under the same category of working against the president.

wanted to go further by burying him or her alive in unmarked grave
 
Panua uwezo wa kufikiri. Kwa nini tusifikiri ulikuwa mtego kuthibitisha kama mita hizo zilikuwa mbovu au nzima kama ripoti zikivyoeleza. Kumbe ni nzima kabisa, zikafanya kazi kwa sms!!!!

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Hakuna kitu kama hicho. Ni utetezi mwepesi na kutafuta namna ya kusafisha wahusika
 
Mkuu mawasiliano ya sms si mapya. Kutuma sms si dhambi ya kumfukuza mtu, hata kama uko nje ya mawasiliano rasmi. Siku hizi ofisi zina Whatsapp Group ambazo wanatumiana matangazo na taarifa mbalimbali, sio rasmi lakini taarifa zinafika haraka.
Hili jambo nalifananisha na kiranja wa shule kumtaarifu kiranja wa darasa kwamba kesho mwalimu mkuu anakuja kufanya ukaguzi fulani. Ni hiari yako kufanya au kutofanya. Kesho mwalimu mkuu ukija, ukionekana na makosa usioneshe ulikuwa na mawasiliano na kiranja wa shule, maana alikufanyia favour, lakini hujabebeka.
Kama mtu alitaka ufanye jambo jema akakutumia sms, si mbaya ukamsitiri. Je, unadhani sms isingetumwa nani angeonekana hawezi kazi? Muhongo au huyo Mama? Bila shaka Muhongo haguswi hata chembe.
Serikali ina njia rasmi za mawasiliano na hiyo ya SMS haipo na wala si rasmi !
Hiyo ni kwa ajili privacy zako tu mkubwa!
 
Ni sospeter muhongo! Yule mama alimtaja kabisa pm akawa anashoboka na maneno meng na kujifanya hajasikia yaan kuyeyusha
 
ipo siku atatuma sms za kuhatarisha hata usalama kama kaweza kutarifu mtu asifumaniwe anaiibia tanzania yetu ni hatari sana anaweza hata tumia magaidi huyu
 
Kutoka kwenye ukurasa wa facebook wa Manyerere Jackton..
MAJIBU KUTOKA OFISI YA PROF.
MUHONGO

Flow meters za kupima mafuta ziameachwa kutumiwa Mwaka 2011. Prof Muhongo hakuwa po nchini wala Serikali mwaka 2011.
Wenye dhamana ya kusimamia mita hizo ni Wizara ya Viwanda na Biashara na siyo Wizara ya Nishati na Madini. Huyo mama na wenzake (Weights & Measures) wako chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Mwenye jina la Mwijarubi hana undugu na Prof Muhongo. Mwijarubi ni jina la kawaida sehemu za Ukerewe na Musoma Vijijini. Tusidanganywe.
 
Tulitoa ushauri hapa kwamba JPM aachane na mawaziri ambao walikuwa kwenye serikali ya Kikwete.Sababu za msingi ni kwamba wamezoeshwa wizi,ufisadi,upedeleo,ubabaishaji na tabia zingine za hovyo zinazofanana na hizo.Kwa bahati mbaya tulidharauliwa na matokeo ya kudharau ushauri huo yameanza kuonekana wazi.Waziri mmoja aliyekuwa kwenye serikali ya Kikwete bila aibu ameanza kumzunguuka Rais.Kutuma SMS kwa mhalifu ili kumnusuru na panga la Waziri Mkuu kulikuwa na sababu moja tu,kuficha uovu.Hii ni typical characteristic ya watu waliokubuhu kwenye uovu.Rais Magufuli fukuza kazi waziri huyu,hakufai.Tabia haina dawa ataendelea na uovu wake huyu hawezi kuacha.
Huyu waziri alikua anaujua uozo ulioko Bandarini. Ni kwanini amuandae huyo mtendaji mkuu wakala wa vipimo? Huyu waziri ni miongoni mwa mawaziri wanaomhujumu Rais Magufuli! Hii ni aibu kubwa kwa mtu mwenye dhamana kubwa kama waziri na hii ni kukosa uaminifu katika kazi za umma.

Hii tabia inatakiwa ikomeshwe mara moja na wengine wajifunze, Waziri mkuu anwajibishe huyu waziri aliyetuma hiyo sms! Maana idingetumwa hiyo sms pengine hali ingekutwa mbaya zaidi na Waziri mkuu kuijua hali halisi ya mazingiza haya.

Nadhani waziri mkuu mwenyewe amejionea na amesikika jinsi snavyohujumiwa na wenzake wazi wazi! sasa achukue hatua mara moja.Hizo flowmetres zingine inamaana isingetumwa sms zote zingekutwa zimegandiana kutu hapo.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom