hohohoho nacheka kijapaniUTEUZI: Serikali kupitia Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage imemteua Dkt Ludovick Manege Kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo na Mizani(WMA)
> Kabla ya uteuzi huo Dkt. Ludovick Manege alikuwa akikaimu nafasi hiyo
View attachment 804470