Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Waziri Mhongo yupo kwenye Wizara ya Nishati siku nyingi. Sio Waziri mgeni yule kama kina Mpango na Nape. Anaijua situation vizuri. Kitendo chake cha kutuma meseji hata kama sio text msg, iwe hata barua formal au aina yoyote ya ujumbe, ni kudhoofisha dhana ya collective responsibility kwenye cabinet. Kama alijua kuna huo uozo (na kwa nafasi yake kama Waziri wa Nishati wa Kikwete lazima alijua) kwa nini hakurekebisha tangu day 1 alipoteuliwa hadi asubiri Majaliwa apange kwenda kutembelea ndipo aamue 'kumtonya' yule mkuu wa WMA? Utasemaje hakukua na nia ovu nyuma ya ule 'mtonyo'?Labda utuambie waziri kosa lake ni lipi ambalo linafanya astaili kufukuzwa? Je, hilo la meseji tu au kuna lingine? Kama ni meseji....Basi sio kosa la kumfukuzisha mtu kazi.