Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Babu umesema neno! haya nice hearing from you. Fata ushauri wa babu kakautapona/.
pole sana masa,na nahisi hujaoa bado.
kwa kifupi ukizoea kujichua hata siku moja hutakuwa na hamu na mkeo.Hata ukifanya ,utapata shida sana kwa kuwa upo addicted na huyo mpenzi punyeto.
wana jf naomba ushauri wenu ili niokoe maisha ya rafikiyangu kipenzi.ameniomba ushauri nikakosa jibu nikaona nilete maada hii hapa ubaoni,, ni kwamba amekuwa akipiga nyeto tangia mwaka1998!!!sometimes kwa siku anapiga bao3...chanzoni kwamba alimwona uncle wake akitaabika kwa ukimwi,,alipofariki akaweka nadhiri y kuacha mamboya waschana.amekaa bila girlfriend kwa muda mrefu mwishoakashindwa, akaona option ni kupiga nyeto mwanzoni mwa mwaka 1998!!! mpaka leo hii bwana huyu anapiga nyetoile mbaya.. kila akijaribu kuacha hawezi!!! anasema hawezi kukaa siku3 bila kupiga nyeto,, so anataka kujua nini madhara ya nyeto hasa ilodumu kwa muda mrefu?pia nini afanye ili aweze kuacha?NOTE: kuhusu mademu ameshindwa vmilia so anatiana na kupiga nyeto pia..
wana jf:nn mchangowenu kwa hayo?
wana jf naomba ushauri wenu ili niokoe maisha ya rafikiyangu kipenzi.ameniomba ushauri nikakosa jibu nikaona nilete maada hii hapa ubaoni,, ni kwamba amekuwa akipiga nyeto tangia mwaka1998!!!sometimes kwa siku anapiga bao3...chanzoni kwamba alimwona uncle wake akitaabika kwa ukimwi,,alipofariki akaweka nadhiri y kuacha mamboya waschana.amekaa bila girlfriend kwa muda mrefu mwishoakashindwa, akaona option ni kupiga nyeto mwanzoni mwa mwaka 1998!!! mpaka leo hii bwana huyu anapiga nyetoile mbaya.. kila akijaribu kuacha hawezi!!! anasema hawezi kukaa siku3 bila kupiga nyeto,, so anataka kujua nini madhara ya nyeto hasa ilodumu kwa muda mrefu?pia nini afanye ili aweze kuacha?NOTE: kuhusu mademu ameshindwa vmilia so anatiana na kupiga nyeto pia..
wana jf:nn mchangowenu kwa hayo?
Nyeto haina madhara yoyote kimwili,
Kama anataka kupunguza nyeto mwambie afanye mazoezi magumu ya kimwili kama kukimbia kilomita 10 kila baada ya siku moja.
Kwa vyovyote vile mwambie hakuna substitute for the real thing na atafute rafiki wa kike mwaminifu. Ni bora maradufu kuliko nyeto.
Wasalaam,
Sheikh Ndjabur al Duder
wana jf naomba ushauri wenu ili niokoe maisha ya rafikiyangu kipenzi.ameniomba ushauri nikakosa jibu nikaona nilete maada hii hapa ubaoni,, ni kwamba amekuwa akipiga nyeto tangia mwaka1998!!!sometimes kwa siku anapiga bao3...chanzoni kwamba alimwona uncle wake akitaabika kwa ukimwi,,alipofariki akaweka nadhiri y kuacha mamboya waschana.amekaa bila girlfriend kwa muda mrefu mwishoakashindwa, akaona option ni kupiga nyeto mwanzoni mwa mwaka 1998!!! mpaka leo hii bwana huyu anapiga nyetoile mbaya.. kila akijaribu kuacha hawezi!!! anasema hawezi kukaa siku3 bila kupiga nyeto,, so anataka kujua nini madhara ya nyeto hasa ilodumu kwa muda mrefu?pia nini afanye ili aweze kuacha?NOTE: kuhusu mademu ameshindwa vmilia so anatiana na kupiga nyeto pia..
wana jf:nn mchangowenu kwa hayo?
amen!!madhara ya kiroho ni dhambi ambayo itampeleka jehanam, moto wa milele usiozimika! Mazoezi ya kiroho ni toba ya kweli ipatikanayo kupitia jina la yesu, kufunga na kuomba, kuutoa mwili kuwa dhabihu safi impendezayo mungu! Ajiepushe na kuangalia picha chafu (kama anafanya hivyo), akomboe wakati kwa kusoma neno la mungu, ajue kuwa anasa za dunia hii ni za kitambo tu na hatujui siku wala saa atakapokuja mwana wa adamu kulitwaa kanisa lake! Siku ya bwana itakuja kama mwivi atapo usiku kuiba! Watu watakuwa wakila na kunywa, kuoa na kuolewa! Kesheni basi kwa kuwa hatujui siku wala saa, tusije tukaaibika milele kwenye ziwa la moto pamoja na shetani na wale wote watendao maovu!