May be sijaelewa posho zenyewe walizogomea ni zipi kwanza au ni shilingi ngapi?
Nimevutiwa sana na pendekezo la wabunge wa CHADEMA kuwa posho ya vikao ifutwe ili pesa zipelekwe katika kuboresha huduma za jamii.
Huo ni uzalendo wa hali juu kwa waheshimiwa wabunge katika kipindi hiki ambacho taifa letu linapitia katika mawimbi makubwa ya kuwepo kwa matatizo ya kiuchumi na kijamii.
Nachukua fursa hii kuwaomba waheshumiwa wakiongozwa na ZITO waepuke kupokea posho za vikao katika bunge la bajeti na pesa husika zifunguliwe mfuko maalum kwa kusaidia jitihada za wananchi kujiletea maendeleo. Kama tujuavyo wawapo DODOMA wabunge wetu wanapata posho za aina 2; za vikao na kuishi, hivyo living allowanze waendelee kupokea ili jioni waonekane PAKO NI PAKO na viwanja vingine. ILA SITTING ALLOWANCE WAIEPUKE.
Kuchezwa kwa ngoma, kuanzishwa na mpigaji!
Basi badilisha kichwa cha habari cha hii posting tafadhali, naogopa utakuja kusutwa kwani hao hawaaminiki katika swali la mshiko, tulishawasikia wakihalalisha posho za mara mbili!Nimevutiwa sana na pendekezo la wabunge wa CHADEMA kuwa posho ya vikao ifutwe ili pesa zipelekwe katika kuboresha huduma za jamii.
Huo ni uzalendo wa hali juu kwa waheshimiwa wabunge katika kipindi hiki ambacho taifa letu linapitia katika mawimbi makubwa ya kuwepo kwa matatizo ya kiuchumi na kijamii.
Nachukua fursa hii kuwaomba waheshumiwa wakiongozwa na ZITO waepuke kupokea posho za vikao katika bunge la bajeti na pesa husika zifunguliwe mfuko maalum kwa kusaidia jitihada za wananchi kujiletea maendeleo. Kama tujuavyo wawapo DODOMA wabunge wetu wanapata posho za aina 2; za vikao na kuishi, hivyo living allowanze waendelee kupokea ili jioni waonekane PAKO NI PAKO na viwanja vingine. ILA SITTING ALLOWANCE WAIEPUKE.
Kuchezwa kwa ngoma, kuanzishwa na mpigaji!
posho sh 80elf +kujikimu sh 70elf=150elf pd wanapokuwa bungeni. Mshahara jumla ni sh 1.17mil.
Edzon,
Unajua unachoandika? Hiyo jumla umeipata vipi?
Ni jumla ya vitu gani?
Nimevutiwa sana na pendekezo la wabunge wa CHADEMA kuwa posho ya vikao ifutwe ili pesa zipelekwe katika kuboresha huduma za jamii.
Huo ni uzalendo wa hali juu kwa waheshimiwa wabunge katika kipindi hiki ambacho taifa letu linapitia katika mawimbi makubwa ya kuwepo kwa matatizo ya kiuchumi na kijamii.
Nachukua fursa hii kuwaomba waheshumiwa wakiongozwa na ZITO waepuke kupokea posho za vikao katika bunge la bajeti na pesa husika zifunguliwe mfuko maalum kwa kusaidia jitihada za wananchi kujiletea maendeleo. Kama tujuavyo wawapo DODOMA wabunge wetu wanapata posho za aina 2; za vikao na kuishi, hivyo living allowanze waendelee kupokea ili jioni waonekane PAKO NI PAKO na viwanja vingine. ILA SITTING ALLOWANCE WAIEPUKE.
Kuchezwa kwa ngoma, kuanzishwa na mpigaji!