Mtazamo: Baada ya mishahara na posho za wafanyakazi kuongezwa, sitashangaa kuona mishahara na posho za wabunge nazo zikiongezwa

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,035
144,387
Wakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..

Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).

Muda utathibitisha.
 
Wakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..

Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).

Muda utathibitisha.
Hao lazima wamejiongeza pakubwa sn
 
Kuhusu mshahara kuongezwa kuna surprise inakuja wengi hadi sasa wamegoma kuelewa maana.
Pia hakuna posho iliyoongezwa, muda utasema
 
Wakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..

Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).

Muda utathibitisha.
Kwani kuna ubaya?
 
Wakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..

Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).

Muda utathibitisha.
Tunakopa kulipa posho kumbe
 
1653646728604.png

Watumishi wa umma kaeni mkao wa kula​
 
Wakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..

Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).

Muda utathibitisha.
Hiyo ni automatic wala si jambo la kijiuliza ama kujifanya unapiga ramli.
 
Wakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..

Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).

Muda utathibitisha.
ccm ni majambazi
 
Wakuu wa idara ndio wameula Dodoma ni mwendo wa bata ila kwa watumishi wa kawaida hamna kitu 80,000/=-100,000/= inaleta ukakasi waliopeleka mapendekezo walijijali wao kuliko watu wa chini yaani kutoka 120,000/= hadi 250,000/= na kwa hili mh.Raisi aliangalie tena sababu waziri nae hatuelewi kwani wangesifanya 150000/= kwa watumishi wa kawaida na 200,000/=kwa wakuu wa idara shida ingekuwa wapi.
 
Back
Top Bottom