Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,277
- 8,492
Wabunge wang`aka kuguswa posho zao
NA MWANDISHI WETU
3rd June 2011
1. Wamshambulia Zitto kuwa anasaka umaarufu
2. Wasema upinzani waziache, wao watachukua
Naye Mbunge wa Magomeni visiwani Zanzibar, Mohammad Chomboh (CCM), alisema suala hilo halitekeleziki kwa kuwa Sh. 80,000 anayolipwa mbunge kama posho ni ndogo ikilinganishwa na hali halisi ya maisha ilivyo sasa.
Alisema kulala nyumba ya wageni kwa siku wanapokuwa Dodoma ni Sh. 50,000 hapo bado hawajala hivyo kiasi hicho sio kikubwa kama inavyoelezwa na upinzani.
Kwa sasa mbunge analipwa Sh. 70,000 kwa siku kwa ajili ya kujikimu pamoja na Sh. 80,000 kama posho ya kikao kwa siku ambapo jumla analipwa Sh. 150,000 mbali na mshahara wake.
[/COLOR][/B]
Hawa Chama Cha Magamba huwa siwaelewi, anaposema kulingana na maisha ya sasa 150,000 haitoshi kwa siku, wakati watumishi wengi serikalini ndio mshahara wao sijui alimaanisha anatuma ujumbe gani kwao.
Hawa si wawakilishi wa wananchi bali wa CCM na mafisadi