Ni chombo gani kinapanga mishahara, posho na mafao ya kustaafu ya Wabunge?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,278
2,041
Watanzania MASIKINI nawasalimu na niwatakie HERI ya MWAKA MPYA 2024 MUNGU akipenda Tuingia na UMASIKINI wetu kwa mwaka 2024 Kama Tulivyozoea.

Mada yangu ni juu ya hawa WAHESHIMIWA sana Wenye NCHI hii WABUNGE.Binafsi nilikuwa naamini Mishahara inapangwa na Chombo kimoja Kwa Wote isipokuwa kwa wale walio nje ya Serikali Bunge na Mahakama Na Vyombo vya Ulinzi.

Baadae kuna jamaa ananiambiwa SIO.
LEO nimekuja kutaka kujua ni chombo gani kinapanga Hii MISHAHARA MIKUBWA Na MINONO ya hawa WAHESHIMIWA?

Je, UKUBWA wa hiyo MISHAHARA na POSHO kigezo chake ni nini?
Je, WABUNGE ndio wenye MAJUKUMU Makubwa na Mazito ktk NCHI hii kuliko Watendaji Wengine?

Kuhusu MAFAO ya KUSTAAFU mbona nayo yamekuwa MAKUBWA sana ukizingatia MUDA wa UTUMISHI wao w MIAKA 5 TOFAUTI na MAFAO ya Mwalimu anayestaafu baada ya kufundisha MIAKA 30 kwa Mateso makubwa analipwa ROBO ya MAFAO ya WABUNGE je ni MFUKO GANI unalipa hivyo tena bila USUMBUFU Kama ilivyo kwa Mwalimu na Watumishi wengine?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Chombo kinachotumika kupanga mishahara na posho za watumishi wa umma ndio hicho hicho kinapanga posho na marupurupu ya wabunge na mawaziri, hata hivyo huu ni mtazamo Tu ambao hauna ukweli wowote.
 
CCM MBELE KWA KWA MBELE
Wewe ni mpishi halafu upo jikoni unashindwaje kujipakulia chakula kingi. Mzazi naye yupo bize na michepuko yake hata akijua anakaa kimya ili uendelee kumtunzia Siri yake ya michepuko. Huu ndio mfumo wao.

Hata hivyo hii Nchi haina mwenyewe ukipata ulaji we kula tu.
 
Kimsingi hawastahili kulipwa mishahara kwani siyo waajiriwa, wao ni wawakilishi ambao walitakiwa walipwe posho ya kuwawezesha kushiriki kwenye vikao vya bunge na wapiga kura wao majimboni.

Kinachofanyika kwa serikali kuwalipa wabunge posho na mishahara ni rushwa ya waziwazi, unamlipaje mtu ambaye anatakiwa kukusimamia na kukuthibiti, ni sawasawa na timu imlipe refa posho na mshahara........unategemea timu pinzani itatoboa?​
 
Watanzania MASIKINI nawasalimu na niwatakie HERI ya MWAKA MPYA 2024 MUNGU akipenda Tuingia na UMASIKINI wetu kwa mwaka 2024 Kama Tulivyozoea.

Mada yangu ni juu ya hawa WAHESHIMIWA sana Wenye NCHI hii WABUNGE.Binafsi nilikuwa naamini Mishahara inapangwa na Chombo kimoja Kwa Wote isipokuwa kwa wale walio nje ya Serikali Bunge na Mahakama Na Vyombo vya Ulinzi.

Baadae kuna jamaa ananiambiwa SIO.
LEO nimekuja kutaka kujua ni chombo gani kinapanga Hii MISHAHARA MIKUBWA Na MINONO ya hawa WAHESHIMIWA?

Je, UKUBWA wa hiyo MISHAHARA na POSHO kigezo chake ni nini?
Je, WABUNGE ndio wenye MAJUKUMU Makubwa na Mazito ktk NCHI hii kuliko Watendaji Wengine?

Kuhusu MAFAO ya KUSTAAFU mbona nayo yamekuwa MAKUBWA sana ukizingatia MUDA wa UTUMISHI wao w MIAKA 5 TOFAUTI na MAFAO ya Mwalimu anayestaafu baada ya kufundisha MIAKA 30 kwa Mateso makubwa analipwa ROBO ya MAFAO ya WABUNGE je ni MFUKO GANI unalipa hivyo tena bila USUMBUFU Kama ilivyo kwa Mwalimu na Watumishi wengine?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Tulieni muilambe dawa, nyie si ndio mnaipigania CCM kila uchaguzi.
 
Posho na mishahara ya wabunge hupangwa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Watanzania MASIKINI nawasalimu na niwatakie HERI ya MWAKA MPYA 2024 MUNGU akipenda Tuingia na UMASIKINI wetu kwa mwaka 2024 Kama Tulivyozoea.

Mada yangu ni juu ya hawa WAHESHIMIWA sana Wenye NCHI hii WABUNGE.Binafsi nilikuwa naamini Mishahara inapangwa na Chombo kimoja Kwa Wote isipokuwa kwa wale walio nje ya Serikali Bunge na Mahakama Na Vyombo vya Ulinzi.

Baadae kuna jamaa ananiambiwa SIO.
LEO nimekuja kutaka kujua ni chombo gani kinapanga Hii MISHAHARA MIKUBWA Na MINONO ya hawa WAHESHIMIWA?

Je, UKUBWA wa hiyo MISHAHARA na POSHO kigezo chake ni nini?
Je, WABUNGE ndio wenye MAJUKUMU Makubwa na Mazito ktk NCHI hii kuliko Watendaji Wengine?

Kuhusu MAFAO ya KUSTAAFU mbona nayo yamekuwa MAKUBWA sana ukizingatia MUDA wa UTUMISHI wao w MIAKA 5 TOFAUTI na MAFAO ya Mwalimu anayestaafu baada ya kufundisha MIAKA 30 kwa Mateso makubwa analipwa ROBO ya MAFAO ya WABUNGE je ni MFUKO GANI unalipa hivyo tena bila USUMBUFU Kama ilivyo kwa Mwalimu na Watumishi wengine?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Nchi hii na viongozi wake inasuburi tumwage damu ili sauti ya wananchi iheshimike na kusikika, Sikuzote haki huleta AMANI na hiyo ndio principal nje ya hapo ni kudanyanyana tu.
 
Watanzania MASIKINI nawasalimu na niwatakie HERI ya MWAKA MPYA 2024 MUNGU akipenda Tuingia na UMASIKINI wetu kwa mwaka 2024 Kama Tulivyozoea.

Mada yangu ni juu ya hawa WAHESHIMIWA sana Wenye NCHI hii WABUNGE.Binafsi nilikuwa naamini Mishahara inapangwa na Chombo kimoja Kwa Wote isipokuwa kwa wale walio nje ya Serikali Bunge na Mahakama Na Vyombo vya Ulinzi.

Baadae kuna jamaa ananiambiwa SIO.
LEO nimekuja kutaka kujua ni chombo gani kinapanga Hii MISHAHARA MIKUBWA Na MINONO ya hawa WAHESHIMIWA?

Je, UKUBWA wa hiyo MISHAHARA na POSHO kigezo chake ni nini?
Je, WABUNGE ndio wenye MAJUKUMU Makubwa na Mazito ktk NCHI hii kuliko Watendaji Wengine?

Kuhusu MAFAO ya KUSTAAFU mbona nayo yamekuwa MAKUBWA sana ukizingatia MUDA wa UTUMISHI wao w MIAKA 5 TOFAUTI na MAFAO ya Mwalimu anayestaafu baada ya kufundisha MIAKA 30 kwa Mateso makubwa analipwa ROBO ya MAFAO ya WABUNGE je ni MFUKO GANI unalipa hivyo tena bila USUMBUFU Kama ilivyo kwa Mwalimu na Watumishi wengine?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Bunge.
 
Bunge Lenyewe Ndiyo Hupanga Kila Kitu Kinono Kiwapate Wao Na Huwa Hakuna Wa Kuzuia


Mfano Mdogo Na Wa Hovyo, Mbunge Anapewa Pesa Tele Tele Ambazo Hazina Marejesho Wala Kukaguliwa Popote
 
Back
Top Bottom