Leo tukiamua kusupport mavazi yanayozalishwa nchini tutafika mbali,tunachohitaji ni uzalendo wa kweli na siyo ulimbukeni wa mavazi toka nje.Lingine ni swala la ubora wa mavazi yetu ya ndani, inawezekana watu hawapendi kuvaa mavazi ya ndini kisa tu yanafubaa na kuchujuka upesi.Nia ya dhati ianze na viongozi wetu, ku-ssuport viwanda na kuvaa mavazi ya ndani.
Viwanda vya ndani vipi Mkuu, vyote vimetafunwa na BWM kamalizia kupiga bei. Kiltex, Mutex, Sunguratex, Urafiki angalau wachina wanatengeneza khanga na vingine vyote kama sio marehemu basi ni mahutihuti.
Na laana iwapate watanzania waliokua wamepewa dhamana ya kuendesha lakini wakaviuwa kwa maslahi yao.