Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,940
- 20,401
Uanachama wa huyu mama na wengine waliojiunga wakiwa huko UK ni batili. Katiba ya CHADEMA hairuhusu mambo haya kufanyika nje ya matawi yao ambayo yako ndani ya TANZANIA tu.
Mkuu heshima mbele.
Sasa ingekuwa ni jambo jema kama ungeleta vielelezo ukichambua hicho kipengele kwenye katiba ya CHADEMA kuhusu matawi nje ya TANZANIA, ili mapungufu yaonekane.
Maana wengi labda hatufahamu hilo.