Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Propaganda kwa maana yake mbaya.
Hapo ujumbe ni kwamba mkiona hata mtoto wa Kambona kajiunga CHADEMA basi mjue bonafide ya hiki chama inakubalika hata katika familia zilizoanza upinzani miaka ya sitini huko. Kwa hiyo wengine pangeni mstari.
It is sad that we are reduced to pedigree instead of focusing on ability. And this is coming from CHADEMA.
Next thing you know Neema anapewa kiti maalum kwa ajili ya jina, culture of entitlement inaanza polepole, tunatengeneza kina Raila wetu.
Halafu kesho CHADEMA watataka kuwablast CCM kwa nepotism ya kuwa fast track kina Makamba and Nchimbi.
I know a photo op is not the same thing, but still, the principle stands. And who is to say what awaits the first CHADEMA administration?
Linapokuja suala la nepotism, hakuna chama cha siasa chenye afueni Tanzania
Chadema viti maalum kumejaa watoto, wake, wakwe, ndugu, marafiki wa viongozi wa chama na walipojivuta nje kidogo ni kwa mwenye kutumia jina la Nyerere licha ya kuwa inasemekana kuwa anaishi Maryland, Marekani
Hili ni muendelezo tu wa trend ambayo ipo tayari kwenye chama
Vyama hivi vinaendeleza dhana ya kibaguzi ya Kikoloni, upwndeleo kwa tabaka maalum