Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Hivi hawa walio nje ya nchi katiba inawatambua kama wapiga kura??
WanaHistoria,
Hivi ni kweli Kambona hakuwa RAIA wa TANZANIA?
Ni mtazamo wako tu. Yalisemwa haya enzi hizo. Na hata Kambona mwenyewe aliporudi nchini akaanzisha chama cha TADEA( nadhani?) yalisemwa pia. Namshangaa huyu binti kukiacha chama ambacho baba na mama yake ni waasisi wake na kukimbilia waliko Wajomba.Hili ni swali la kijinga kwa mtu mwenye akili timamu!
Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Mbona hiyo mikono hawaachani sasa? Halafu kwanini Kambona alitimuliwa na Mwalimu lakini leo Chadema wanamkubalia mtoto wake uanachama kiurahisi hivyo.
Kwa hiyo ulitaka chama kiwe na wanachama gani manake sasa kila kitu kikifanywa mnakosoa ,Linapokuja suala la nepotism, hakuna chama cha siasa chenye afueni Tanzania
Chadema viti maalum kumejaa watoto, wake, wakwe, ndugu, marafiki wa viongozi wa chama na walipojivuta nje kidogo ni kwa mwenye kutumia jina la Nyerere licha ya kuwa inasemekana kuwa anaishi Maryland, Marekani
Hili ni muendelezo tu wa trend ambayo ipo tayari kwenye chama
Vyama hivi vinaendeleza dhana ya kibaguzi ya Kikoloni, upwndeleo kwa tabaka maalum
Kma alivyosema Nyerere, CCM SIO BABA WALA MAMANi mtazamo wako tu. Yalisemwa haya enzi hizo. Na hata Kambona mwenyewe aliporudi nchini akaanzisha chama cha TADEA( nadhani?) yalisemwa pia. Namshangaa huyu binti kukiacha chama ambacho baba na mama yake ni waasisi wake na kukimbilia waliko Wajomba.
Binti Wa Oscar Kambona Ajiunga Na Chadema...
Mwenyekiti wa Chadema UK Chris Lukosi akimkabidhi kadi mwanachama mpya Neema Kambona, mtoto wa mwanasiasa mkongwe Mzee Oscar Kambona, shughuli hii fupi ilifanyika Leo Barking baada ya Watanzania wengi kuamua kujiunga na M4C. Picha na Maelezo: Chadema UK
HAYA PICHA ZAIDI HIZO MKUU, SHINDWA MWENYEWEKwa hiyo katika watanzania wote waliojiunga siku hiyo mtoto wa kambona ndiye aliyedeserve kupigwa picha?
Mimi nilidhani angekuwa kama yule binti wa Zulfikar Ali Bhuto wa Pakistani. Hivi TADEA yenyewe ipo kweli? Kambona alirudi kwa kishindo kidogo akaishia kuungwa mkono na akina John Lifa Chipaka tu. Wote waliomuasi Mwalimu hawakufanikiwa KISIASA hata baada ya kuwa ameacha madaraka. Angalau akina Hans Pope wanafanya vizuri huku kwenye malori na kwenye Simba na Yanga hasa suala la Twite(r)!Kma alivyosema Nyerere, CCM SIO BABA WALA MAMA
Hhahahahaha,Wazamani sana wewe! una bado zile fikra za zidumu fikra za mwenyekiti na una akili za kupatiliza makosa ya baba kwa mwana
bila shaka utakuwa na maisha ya ajabu sana, Mwalimu hakuwa malaika naye alikuwa na makosa yake kadhaa na hatuwezi sasa kumuhukumu Makongoro au Madaraka kwa makosa ya Baba yake
Kambona naye alikuwa mwanadamu na alikuwa na makosa kadhaa kama wengine na hatuwezi binti yake kwa makosa ya baba yake huo ni UBAGUZI
Na hiyo unayoona ni picha ilipigwa wakiwa wameshikana mikono, baada ya picha waliachana mikono au wewe unadhani wameendelea kushikana mpaka sasa??