Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Alinipenda mimi so wazazi wangu aliwaona hata kabla ya ndoa akaridhika ht kama wapi aridhike then after be back ndo anieleze
Kwenu ni wapi? Isije ikawa mnaongea kilugha all the time naye akawa mpweke? Ulitakiwa kufanya stay yenu iwe exciting as a host; kama uko busy na ndugu zako na yeye unamuignore unategemea nini? Sio wote wanaoweza kujichananya kwenye strange places!
Mpeleke shambani/porini mkatafute berries halafu ummpe cha porini; she will love that! LOL