Nyie wanawake muda mwingine mnaboa sana

Huyo mwanamke ni mjinga tena limbukeni tatizo kakazetu mnaoa kwa kuangalia sura, mavazi, urembo na mengineyo hizo ni mbwewe tu mwanamke unampima kwa tabia zake an im sure huyo mkeo ndo wale dizaini ya masister duu hayupo real, hata kama hapo kwenu pamemboa hawezi kuvumilia mrudi kwenu ndo akwambie sasa kununa kumtamsaidia nini, alafu mwambie hapo ni kwenu ndo pamekulea mpaka akakupenda haunajinsi ya kupageuza pakawa kama anavyotaka yeye apeleke ushamba wake mbele ya safari ameniboa kweli kama me ndo mlengwa.
 
hapo umenena, suala ni kuongea naye akueleze ukweli, au ulimueleza kuwa kwenu mambo ni safi wakati sivyo? tafadhali tuelimishe
 
Kwenu ni wapi? Isije ikawa mnaongea kilugha all the time naye akawa mpweke? Ulitakiwa kufanya stay yenu iwe exciting as a host; kama uko busy na ndugu zako na yeye unamuignore unategemea nini? Sio wote wanaoweza kujichananya kwenye strange places!

Mpeleke shambani/porini mkatafute berries halafu ummpe cha porini; she will love that! LOL
wewe wa ukweli kweli huu ndo ushauri wa maana ,uone baada ya hapo km hatakuambia tatizo hata bila kumuuliza then ndo utajaji kutokana na majibu aliyokupa umuache au ufanye nn.
ila km amepadis home bila rizon ya msingi ,lol!huyo angekuwa mm hanifai aseeeeh!
 
lakni mwambie abdilitabia hao ndio wzzi wako endapo utakufa leo aawaheshimu, unajua ndiomaa wakati mwngine mwanaume akifa wanananánywa mai halafuwananza kulia na kudi kuna mfumo dume
 
lakini mwambie abadili tabia hao ndio wazazi wako, awapende kama keli anakupenda, je anawachukia leo je endapo utakufa leo atawaheshimu, unajua ndio maana wakati mwingine mwanaume akifa wananyangánywa mali halafu wanaanza kulia, kupiga kelele na kudai kuna mfumo dume , kumbe wanayakoroga wenyewe
 
sasa ulimuoaje kama hakuwahi kufika kwenu........?

Preta,umesahau mapenzi ya mujini mujini? Mnakutana maisha club hao malavidavi kesho kanisani/msikitini,sasa kama sisi wa kilimatinde saa ngapi mtakwenda kabla ya harusi? Si unajua sa ingine hata wazazi wanashindwa kuhudhuria harusi?
Ninachokiona hapa bibi harusi mazingira tofauti na aliyokulia ndo yanamshinda.Mme awe na subira wakija kijijini mara tatu nne atazoea.
 
Hivi kuvunja ndoa imekua rahisi kiasi hiki?Binafsi,sijaona kosa la kupelekea kufikiri achilia mbali kuivunja ndoa.Huyo mkeo kweli ni mjinga,hatumii busara,hata kama kuna jambo limemkera namna gani namna anavyofikisha ujumbe wa kukereka haifai.Hebu kuwa MWANAUME bana.MWANAUME hakubali hisia zimpoteze kama ulipofikia,otherwise utakua hauna tofauti na mkeo na utakua unatuaibisha WANAUME ebo!!

salute mkuu
 
lakini mwambie abadili tabia hao ndio wazazi wako, awapende kama keli anakupenda, je anawachukia leo je endapo utakufa leo atawaheshimu, unajua ndio maana wakati mwingine mwanaume akifa wananyangánywa mali halafu wanaanza kulia, kupiga kelele na kudai kuna mfumo dume , kumbe wanayakoroga wenyewe

Thanks
 
Mtu kwake bwana. Ukiwa ugenini especially kwa wakwe unakosa uhuru sana. Fanya mpango mrudi kwenu kupiga kibuti sio suruhisho.
 
Tafuta sababu ya matatizo pande zote mbili kwa mkeo na waliopo hapo kwenu,kabla ya kumhukumu mkeo na kuwa upande wa ndugu zako!mkeo pia ni binadam na ww ndio mwenyeji wake na hutakiwi kuwa upande kumhukumu kabla ya kujua tatizo ni nn?inawezekana kuna mengi yanaendele kwa cri na huyajui wanawake sometime tuna matatizo sn!na co wote wanaoweza kuhandle kashkash za mawifi!unatakiwa kuwa makin sn ktk hili otherwise utakosa mke au kukosana na familia yako!
 
Nimeenda home na mke wangu kwa mapumziko ya sikukuu, toka tuanze maisha hajawai kufika kwetu, tatizo tumekaa wiki moja tu amekasilika hataki hili wala lile hadi maza ananiuliza kulikoni? Nikimuuliza tatizo hataki kusema, sasa wadau hili limekaeje nikiamua kumpiga chini itakuwa kosa maana aibu aliyonipa siwezi hata kusema.

Huyo ni wakupiga chini huyo ina maana alitegemea niwakumuoa akae mjini tu. Ama mpe azabu yakubaki huko kama miezi sita hivi ili akipige chini mwenyewe
 
Tulia, fuatilia nini kimempa tatizo mpaka akawa hivyo, kisha jitazame wewe na ndugu waliopo mmechangia kiasi gani kwa yeye kuwa hivyo. Sio jambo la kuamua kirahisi ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom