Nimeenda home na mke wangu kwa mapumziko ya sikukuu, toka tuanze maisha hajawai kufika kwetu, tatizo tumekaa wiki moja tu amekasilika hataki hili wala lile hadi maza ananiuliza kulikoni? Nikimuuliza tatizo hataki kusema, sasa wadau hili limekaeje nikiamua kumpiga chini itakuwa kosa maana aibu aliyonipa siwezi hata kusema.
Nimeenda home na mke wangu kwa mapumziko ya sikukuu, toka tuanze maisha hajawai kufika kwetu, tatizo tumekaa wiki moja tu amekasilika hataki hili wala lile hadi maza ananiuliza kulikoni? Nikimuuliza tatizo hataki kusema, sasa wadau hili limekaeje nikiamua kumpiga chini itakuwa kosa maana aibu aliyonipa siwezi hata kusema.
Aisee! hiyo mihasira yako,usilazimishe ikutokee puani,HUWEZI KUPIGA CHINI MKE JUST KWA KUNUNA.Toka naye kidogo,nenda naye hata mjini kidogo,kama uko village,then muulize mkiwa wawili, nafkiri atakwambia kulikoni. Labda wana mmistreat bila wewe kujua.
NA WEWE usijiendekeze sana kukaa nyumbani zaidi ya wiki, kumbuka you are no longer a child, UNA MJI WAKO, mambo ya kuijikalisha kwa mama wiki 2 na zaidi, wengine hawapendi(mkeo). hujui wakiwa jikoni anaambiwa maneno gani? si unajua mambo ya wanawake!
Huyo mwanamke hana ustaarabu hata kidogo...yaani nidhamu ipo makalioni. Mwanamke aliyefundwa kitu cha kwanza huambiwa ni heshima kwa wakwe it doesnt matter wakoje...nadhan darasa halikukolea au hakupewa kabisa!#Na wewe
ulikosea kutompeleka tangu mwanzo.
..Toka muanze maisha lini?, Inawezekana ni Ujauzito ndo unaoleteleza hayo. Haujapendi mazingira na watu waliopo mlipokwenda. Nadhani unanielewaNimeenda home na mke wangu kwa mapumziko ya sikukuu, toka tuanze maisha hajawai kufika kwetu, tatizo tumekaa wiki moja tu amekasilika hataki hili wala lile hadi maza ananiuliza kulikoni? Nikimuuliza tatizo hataki kusema, sasa wadau hili limekaeje nikiamua kumpiga chini itakuwa kosa maana aibu aliyonipa siwezi hata kusema.
Hapo it doesn't matter wakoje sio kweli kwa sababu hata kama ni mke haina maana wewe sio mwanadamu kuna kipimo cha uvumilivu ila wanawake wengi mbele za watu wanapenda kujionesha ni masuper human fulani na kwamba wamefundwa kwa hiyo wana mioyo ya chuma UONGO.
Tena wengine mtu anavyokuwa mvumilivu ndio wanazidi kumtukana eti haondoki kwa kuwa kwao maskini.
Kuna watu hawavumiliki hamna cha kufundwa wala kufunzwa.Hao wafundaji wenyewe wengine ndoa zimevunjika.
Nakubaliana na wewe kabisaaa kuwa uvumilivu una kipimo..ila kuwanunia hao wazazi sio solution,hajaridhika na mwenendo wowote hapo kwa wakwe then si anaongea pembeni na mwenza wake....sio heshima hata kidogo
kununa nuna tena ugenini,hainfanyi hata
mwanaume kuwa comfortable.
Yaah kisirani sana nacho sio kizuri
Nimeenda home na mke wangu kwa mapumziko ya sikukuu, toka tuanze maisha hajawai kufika kwetu, tatizo tumekaa wiki moja tu amekasilika hataki hili wala lile hadi maza ananiuliza kulikoni? Nikimuuliza tatizo hataki kusema, sasa wadau hili limekaeje nikiamua kumpiga chini itakuwa kosa maana aibu aliyonipa siwezi hata kusema.
Aisee! hiyo mihasira yako,usilazimishe ikutokee puani,HUWEZI KUPIGA CHINI MKE JUST KWA KUNUNA.Toka naye kidogo,nenda naye hata mjini kidogo,kama uko village,then muulize mkiwa wawili, nafkiri atakwambia kulikoni. Labda wana mmistreat bila wewe kujua.
NA WEWE usijiendekeze sana kukaa nyumbani zaidi ya wiki, kumbuka you are no longer a child, UNA MJI WAKO, mambo ya kuijikalisha kwa mama wiki 2 na zaidi, wengine hawapendi(mkeo). hujui wakiwa jikoni anaambiwa maneno gani? si unajua mambo ya wanawake!
HAHAHAHAH, kwahyo ngoma ni ya muhimu?Ngoma pia hakupi? Kama anakupa hapo tatizo hamna, na ikiwa hakupi hapo kuna tatizo.