technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,850
Ni mwanasiasa gani hapa nchini anaweza acha ubunge ndani ya chama tawala akaenda chama cha upinzani ndani ya utawala wa kidicteta?
Ni mbunge gani wa CCM angeweza kwenda Kumjulia hali Tundu lissu Nairobi na hata Ubeligiji ndani ya utawala wa Dikteta?
Ni mbunge gani wa CCM angeacha chakula na kuishi bila mshahara wa ubunge kwa miaka 4 tena ndani ya utawala wa kikatili kama wa Magufuli?
Naombeni tutunze akiba ya maneno binafsi sina tatizo na Nyarandu kilichomtoa ccm ni juu ya uminyaji wa haki za binadamu ulifanywa na Magufuli.
Sasa kama ameona aliyekuja sio katiri na hana visasi juu ya wengine kwanini asimuunge mkono?
Tujifunze kuishi kwa kupokea hisia za watu Ila kama watu ambao wanatakiwa kuheshimiwa na chadema basi ni hawa watu wawili ni Dr Slaa na Nyalandu.
Wameacha athari ndani ya chadema tuache kumsimanga Nyalandu tumtakie maisha mema
Siasa sio uadui.
Ni mbunge gani wa CCM angeweza kwenda Kumjulia hali Tundu lissu Nairobi na hata Ubeligiji ndani ya utawala wa Dikteta?
Ni mbunge gani wa CCM angeacha chakula na kuishi bila mshahara wa ubunge kwa miaka 4 tena ndani ya utawala wa kikatili kama wa Magufuli?
Naombeni tutunze akiba ya maneno binafsi sina tatizo na Nyarandu kilichomtoa ccm ni juu ya uminyaji wa haki za binadamu ulifanywa na Magufuli.
Sasa kama ameona aliyekuja sio katiri na hana visasi juu ya wengine kwanini asimuunge mkono?
Tujifunze kuishi kwa kupokea hisia za watu Ila kama watu ambao wanatakiwa kuheshimiwa na chadema basi ni hawa watu wawili ni Dr Slaa na Nyalandu.
Wameacha athari ndani ya chadema tuache kumsimanga Nyalandu tumtakie maisha mema
Siasa sio uadui.