Nyalandu asitukanwe, kazi aliyoifanya CHADEMA inatosha

Bavicha hawawezi kuacha kumtukana Nyarandu!

Kama Mdee anatukanwa leo kwa kuitwa mzee Nyarandu ni nani?

Kama Dr Slaa leo anatukanwa pamoja na kuumia na kutokwa damu kwa ajili ya chadema Nyarandu ni nani?

Kamwe Bavicha hawawwzi kuacha tabia yao ya kutukana watu wanaotofautiana nao.

Hata Lisu leo akitoka chadema atatukanwa sana!
Huna hoja we jamaa umekariri maneno hayohayo tu
 
Ni mwanasiasa gani hapa nchini anaweza acha ubunge ndani ya chama tawala akaenda chama cha upinzani ndani ya utawala wa kidicteta?

Ni mbunge gani wa CCM angeweza kwenda Kumjulia hali Tundu lissu Nairobi na hata Ubeligiji ndani ya utawala wa Dikteta?

Ni mbunge gani wa CCM angeacha chakula na kuishi bila mshahara wa ubunge kwa miaka 4 tena ndani ya utawala wa kikatili kama wa Magufuli?

Naombeni tutunze akiba ya maneno binafsi sina tatizo na Nyarandu kilichomtoa ccm ni juu ya uminyaji wa haki za binadamu ulifanywa na Magufuli.

Sasa kama ameona aliyekuja sio katiri na hana visasi juu ya wengine kwanini asimuunge mkono?

Tujifunze kuishi kwa kupokea hisia za watu Ila kama watu ambao wanatakiwa kuheshimiwa na chadema basi ni hawa watu wawili ni Dr Slaa na Nyalandu.

Wameacha athari ndani ya chadema tuache kumsimanga Nyalandu tumtakie maisha mema

Siasa sio uadui.
Mponi a.k.a Mkimbizi
IMG-20210501-WA0127.jpg
 
Back
Top Bottom