Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Nyamgluu, watazame wa genious wa ukweli, angalia life style zao, angalia dressing zao, angalia smartnes zao utanotice kuna jambo!. Wengi mnamfahamu Profesa Shaba!. Kwanza ma genius wengi wa ukweli, hawanaga maisha marefu!.
Nikiwa Tambaza tulikuwa na genius wetu akiitwa Nia Sudi, jamaa alitoka familia duni akiishi Msasani Mkikoroshini nyumba ya udango, haina umeme, alikuwa hasomi mwalimu akifundisha yeye alikuwa akitetemesha tuu mguu, mtihani wa form VI, alipiga point 7 na alikuwa na A-9!, akachaguliwa Kibaha na safari yake ikaishia pale!, kwanza alichanganyikiwa, then aliugua and passed away! RIP NIA SUDI!.
Kuna vipanga wengine wawili hapo hapo Tambaza waliokuwa mbele yetu, Mustapha Kudra na Elhanan Elirehema Mushi, wote hawa walimazina form VI na point 7, by now lazima wangekua mahali visible, ukiserch, hukuti feed back yoyote kwenye majina yao in such a way one is not sure if they are still alive!.
Kuna familia moja ya kigogo maarufu nchini, ilikuwa ikiishi pale anapoishi VP. Watoto wa 6 wa familia hiyo wote ni vipanga, mkubwa alisoma Tambaza, akatoka na I ya 7 o-level na 1 ya 3 A level, akaripoti UDSM, he died on the car accident akiwa mwaka wa 2!. Mdogo mtu wa kike alipiga Medicine Muhimbili, akajiua akiwa mwaka wa 4!. Waliomfuatia wawili ni wakike mmoja kwa sasa ni Daktari na Mkurugenzi wa taasisi muhimu nchini na mdogo mtu ni Jaji wa Mahakama Kuu. Last born wao ni mvulana he died misyterious death at the age of twenties!. Familia hiyo ina bahati mbaya kwani mzee huyo ana mtoto mkubwa wa kiume aliyezaa nje ya ndoa, I'm not very sure kama ni mzima upstairs!.
Mkifuatilia maisha ya ma genius hata wa historia, angalia waliishije na walikufaje, Jesus, Newton, Galileo Galilei, Archmedes, Socrates na Plato etc.
Pasco.
Honky tonky guy.......sasa hivi kaiziria kabisa JF