Nyakua Nyakitita: Mhadhiri DIT anayeokota makopo barabarani

Nyamgluu, watazame wa genious wa ukweli, angalia life style zao, angalia dressing zao, angalia smartnes zao utanotice kuna jambo!. Wengi mnamfahamu Profesa Shaba!. Kwanza ma genius wengi wa ukweli, hawanaga maisha marefu!.

Nikiwa Tambaza tulikuwa na genius wetu akiitwa Nia Sudi, jamaa alitoka familia duni akiishi Msasani Mkikoroshini nyumba ya udango, haina umeme, alikuwa hasomi mwalimu akifundisha yeye alikuwa akitetemesha tuu mguu, mtihani wa form VI, alipiga point 7 na alikuwa na A-9!, akachaguliwa Kibaha na safari yake ikaishia pale!, kwanza alichanganyikiwa, then aliugua and passed away! RIP NIA SUDI!.

Kuna vipanga wengine wawili hapo hapo Tambaza waliokuwa mbele yetu, Mustapha Kudra na Elhanan Elirehema Mushi, wote hawa walimazina form VI na point 7, by now lazima wangekua mahali visible, ukiserch, hukuti feed back yoyote kwenye majina yao in such a way one is not sure if they are still alive!.

Kuna familia moja ya kigogo maarufu nchini, ilikuwa ikiishi pale anapoishi VP. Watoto wa 6 wa familia hiyo wote ni vipanga, mkubwa alisoma Tambaza, akatoka na I ya 7 o-level na 1 ya 3 A level, akaripoti UDSM, he died on the car accident akiwa mwaka wa 2!. Mdogo mtu wa kike alipiga Medicine Muhimbili, akajiua akiwa mwaka wa 4!. Waliomfuatia wawili ni wakike mmoja kwa sasa ni Daktari na Mkurugenzi wa taasisi muhimu nchini na mdogo mtu ni Jaji wa Mahakama Kuu. Last born wao ni mvulana he died misyterious death at the age of twenties!. Familia hiyo ina bahati mbaya kwani mzee huyo ana mtoto mkubwa wa kiume aliyezaa nje ya ndoa, I'm not very sure kama ni mzima upstairs!.

Mkifuatilia maisha ya ma genius hata wa historia, angalia waliishije na walikufaje, Jesus, Newton, Galileo Galilei, Archmedes, Socrates na Plato etc.

Pasco.

Honky tonky guy.......sasa hivi kaiziria kabisa JF
 
Please wasiliana na ndugu zake. Jibu lipo. Sisi ni mashahidi wa mambo hayo. Apelekwe kwenye makanisa ya walokole ataombewa na kupona. Mimi napendekeza apelekwe kwa Kakobe au kanisa lililo karibu.

Nakumbuka wakati wa Nyerere walianza walokole wanajidai kuombea watu, Nyerere kama anavyojulikana alikuwa Mkatoliki swafi kabisa, akawaambia kama kweli si muende Muhimbili na Ocean Road kuna wagonjwa wengi yanini mnakaa na kupiga kelele Mnazi Mmoja. Hawajaonekana tena mpaka Nyerere anaachia ngazi.

Kwanini kama wapo hao waombaji na wanafanya kweli wasiende kupunguza msongamano wa wagonjwa mahospitalini?
 
PASCO umenikumbusha mimi nilisoma na NIA SUDI wewe ukiwa form 3 T baada ya kutoka form one na 2 ukiwa Z.
Darasa lote la form 3M lilikuwa vipanga wa kuotea mbali,hata hviyo kama unavyo nukuuu majority ended up
nowhere na hii kama unavyo kumbuka Mwl Kalimuna alitaka form 4 M yote ibaki palepale Tambaza baada ya darasa zima kuwa limefaulu kwa kiwangu cha juuu kabisa na ninaamini haijawawi tokea tena ufaulu ule,cha ajabu alipigwa mizengwe
huo mpango ukaishia hapo.Kumbuka ile timu ya ISSA JUMA,ATUBONE,KENETH,JONATHAN HAULE (AFISA) Prudecence Angello(R.I.P)AMBWENE just to mention a few.
Kweli vipanga huwa wanaishia patupu
 
Nakumbuka wakati wa Nyerere walianza walokole wanajidai kuombea watu, Nyerere kama anavyojulikana alikuwa Mkatoliki swafi kabisa, akawaambia kama kweli si muende Muhimbili na Ocean Road kuna wagonjwa wengi yanini mnakaa na kupiga kelele Mnazi Mmoja. Hawajaonekana tena mpaka Nyerere anachia ngazi.

Kwanini kama wapo hao waombaji na wanafanya kweli wasiende kupunguza msingamano wa wagonjwa mahospitalini?

Wagonjwa huwa hawana sadaka za kuwapa
 
PASCO umenikumbusha mimi nilisoma na NIA SUDI wewe ukiwa form 3 T baada ya kutoka form one na 2 ukiwa Z.
Darasa lote la form 3M lilikuwa vipanga wa kuotea mbali,hata hviyo kama unavyo nukuuu majority ended up
nowhere na hii kama unavyo kumbuka Mwl Kalimuna alitaka form 4 M yote ibaki palepale Tambaza baada ya darasa zima kuwa limefaulu kwa kiwangu cha juuu kabisa na ninaamini haijawawi tokea tena ufaulu ule,cha ajabu alipigwa mizengwe
huo mpango ukaishia hapo.Kumbuka ile timu ya ISSA JUMA,ATUBONE,KENETH,JONATHAN HAULE (AFISA) Prudecence Angello(R.I.P)AMBWENE just to mention a few.Kweli vipanga huwa wanaishia patupu
Duu Mkuu Upanga, umenikumbusha mbali, sikujua Prudence ni RIP!, mara ya mwisho alikuwa Mkurugenzi halmashauri fulani Moro!. Issa Juma alikuwa Tanesco Atu na Ambwene walikuwa bank!. Those good old days, wee acha tuu!.
Ila Mkuu Upanga, na wewe kumbukumbu yako pia sii mchezo!, huwezi amini mimi nilikuwa sikumbuki tena jina la darasa langu!. Nilifikiri vichwa ni darasani tuu, kumbe mpaka leo!. Mzee wa Upanga, wewe ndio Chief nini?.
Wengine nawakumbuka wako scatered sana. Patrick Kamera yuko Toronto, Peter Chagu Japan, kijana wa Ben karudi US, Philipo Mgaya yuko UK, wale wa hapa mjini, huwa tunakuna Ijumaa moja moja pale Calabash ni kwa Milton. Kama uko bongo, One day karibu tukumbushie zile good old days!.
 
Nyamgluu, watazame wa genious wa ukweli, angalia life style zao, angalia dressing zao, angalia smartnes zao utanotice kuna jambo!. Wengi mnamfahamu Profesa Shaba!. Kwanza ma genius wengi wa ukweli, hawanaga maisha marefu!.

Nikiwa Tambaza tulikuwa na genius wetu akiitwa Nia Sudi, jamaa alitoka familia duni akiishi Msasani Mkikoroshini nyumba ya udango, haina umeme, alikuwa hasomi mwalimu akifundisha yeye alikuwa akitetemesha tuu mguu, mtihani wa form VI, alipiga point 7 na alikuwa na A-9!, akachaguliwa Kibaha na safari yake ikaishia pale!, kwanza alichanganyikiwa, then aliugua and passed away! RIP NIA SUDI!.

Kuna vipanga wengine wawili hapo hapo Tambaza waliokuwa mbele yetu, Mustapha Kudra na Elhanan Elirehema Mushi, wote hawa walimazina form VI na point 7, by now lazima wangekua mahali visible, ukiserch, hukuti feed back yoyote kwenye majina yao in such a way one is not sure if they are still alive!.

Kuna familia moja ya kigogo maarufu nchini, ilikuwa ikiishi pale anapoishi VP. Watoto wa 6 wa familia hiyo wote ni vipanga, mkubwa alisoma Tambaza, akatoka na I ya 7 o-level na 1 ya 3 A level, akaripoti UDSM, he died on the car accident akiwa mwaka wa 2!. Mdogo mtu wa kike alipiga Medicine Muhimbili, akajiua akiwa mwaka wa 4!. Waliomfuatia wawili ni wakike mmoja kwa sasa ni Daktari na Mkurugenzi wa taasisi muhimu nchini na mdogo mtu ni Jaji wa Mahakama Kuu. Last born wao ni mvulana he died misyterious death at the age of twenties!. Familia hiyo ina bahati mbaya kwani mzee huyo ana mtoto mkubwa wa kiume aliyezaa nje ya ndoa, I'm not very sure kama ni mzima upstairs!.

Mkifuatilia maisha ya ma genius hata wa historia, angalia waliishije na walikufaje, Jesus, Newton, Galileo Galilei, Archmedes, Socrates na Plato etc.

Pasco.
Mfalme Suleman aliomba kwa Mungu kama hivi: (Usinipe utajiri hata nikakukufuru, usinipe umasikini hata watu wasiokujua wakakudhihaki. naomba unipe hekima nijue namna ya kuingia na kutoka kwa watu wako hawa ulionipa niwaongoze). Kumbe lilikuwa goli la kisigino, Mungu akampa hekima, na zidi ya hapo na utajiri juu. Akatesa na vimwana rasmi 700 pamoja na viconcubine 1000, akila ng'ombe 40 na mbuzi 100 kwa uchache kila siku. Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Hajatokea tajiri kama yeye hata leo, twaambiwa hatokei tena ng'o! Ndo maana twaambiwa tunateseka sababu hatujui kuomba, na kama tunaomba basi twaomba vibaya ili tukipata tutumie kwa hila, basi Mungu akituangalia anatuhurumia na kutuepushia hayo mabaya kwa kutotupatia tutakavyo. "Eee Bwana tufundishe kuomba"- tusipojua udhaifu wetu na kushika adabu tukakubali kufunzwa kama mitume walivyoomba, tutaendelea kukatwa vichwa kadiri tunavyoinuka. Vita yetu sio ya mwili na damu bali ni vita ya ulimwengu wa rohoni, ambavyo anayevweza ni Mungu tu! Mfalme wa giza hataki tutese duniani mara mia kisha uzima wa milele, maana raha hiyo anaijua na amekataliwa kuipata tena!!!!
 
Mfalme Suleman aliomba kwa Mungu kama hivi: (Usinipe utajiri hata nikakukufuru, usinipe umasikini hata watu wasiokujua wakakudhihaki. naomba unipe hekima nijue namna ya kuingia na kutoka kwa watu wako hawa ulionipa niwaongoze). Kumbe lilikuwa goli la kisigino, Mungu akampa hekima, na zidi ya hapo na utajiri juu. Akatesa na vimwana rasmi 700 pamoja na viconcubine 1000, akila ng'ombe 40 na mbuzi 100 kwa uchache kila siku. Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Hajatokea tajiri kama yeye hata leo, twaambiwa hatokei tena ng'o! Ndo maana twaambiwa tunateseka sababu hatujui kuomba, na kama tunaomba basi twaomba vibaya ili tukipata tutumie kwa hila, basi Mungu akituangalia anatuhurumia na kutuepushia hayo mabaya kwa kutotupatia tutakavyo. "Eee Bwana tufundishe kuomba"- tusipojua udhaifu wetu na kushika adabu tukakubali kufunzwa kama mitume walivyoomba, tutaendelea kukatwa vichwa kadiri tunavyoinuka. Vita yetu sio ya mwili na damu bali ni vita ya ulimwengu wa rohoni, ambavyo anayevweza ni Mungu tu! Mfalme wa giza hataki tutese duniani mara mia kisha uzima wa milele, maana raha hiyo anaijua na amekataliwa kuipata tena!!!!
Mkuu za Leo, kwa kuongezea tuu, baba yake na Mfame Suleiman ni Mfalme Daudi, huyu Daudi, alimtamani mwanamke mrembo sana akiitwa Bathsheba, aliyekuwa ni mke wa jemedari wake mkuu aitwae Uria, ili ampate Bathsheba, akampanga njama za kumuua, akamtuma vitani ili afe, kweli Uria akauliwa vitani, huku nyuma Daudi naye kujitwalia huyo mjane wa Uria, Bathsheba na kumfanya mkewe ndipo akamzalia Suleiman!.

Nabii Suleiman alikuwa na wake 800 na masuria 200, jumla ni 1,000. Pamoja na utajiri na wake wote alionao, pia alipewa hekima kuliko watu wote na kosa lake ni moja tuu, tamaa ya kupenda "chini" kupindukia!, hivyo alipokuja kutembelewa na Queen of Sheba, akaomba na kukubaliwa, akapata nae mtoto!. Kwa vile huyu Queen Sheba, hakumwanini Mungu wa Israel, Mfalme Suleiman aliwehuka (alikuwa genius) na kutangatanga porini hadi mwisho wa maisha yake, na mali zake zote, zikapururwa na yule Queen of Sheba na zimehifadhiwa chini ya milima ya Abyssinia na ndilo chimbuko la Mashimo ya Mfame Suleiman!.

Daudi ndiye aliyeandika kitabu cha Zaburi, Suleiman aliandika Mithali wakati akiwa na busara, alipoanza kuendekeza tamaa ya "chini" akaandika "Wimbo Ulio Bora" na mwisho alipoanza kuwa insane, na kumuasi Mungu, akaandika kitabu cha "Mhubiri". Ukivisoma hivyo vitabu vitatu, Mithali na kumsoma Mhubiri, na Wimbo Ulio Bora, unaweza usiamini vitabu hivyo vyote vimeandikwa na mtu mmoja!

Pasco.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom