Nyakua Nyakitita: Mhadhiri DIT anayeokota makopo barabarani

Mkuu za Leo, kwa kuongezea tuu, baba yake na Mfame Suleiman ni Mfalme Daudi, huyu Daudi, alimtamani mke wa jemedari wake aitwae Uria, akamtuma vitani ili afe naye kujitwalia huyo mjane na kumfanya mkewe ndipo akamzalia Suleiman!. Suleiman alikuwa na wake 800 na masuria 200, jumla ni 1,000. Pamoja na utajiri na wake wote alionao, pia alipewa hekima kuliko watu wote na kosa lake ni moja tuu, tamaa ya "chini", hivyo alipokuja kutembelewa na Queen of Sheba, akaomba na kukubaliwa, akapata nae mtoto!. Kwa vile huyu Queen Sheba, hakumwanini Mungu wa Israel, Mfalme Suleiman aliwehuka (alikuwa genius) na kutangatanga porini hadi mwisho wa maisha yake, na mali zake zote, zikapururwa na yule Queen of Sheba na zimehifadhiwa chini ya milima ya Abysinia na ndilo chimbuko la Mashimo ya Mfame Suleiman!.

Daudi ndiye aliyeandika kitabu cha Zaburi, Suleiman aliandika Mithali wakati akiwa na busara, alipoanza kuendekeza tamaa ya "chini" akaandika "wimbo ulio bora" na mwisho alipoanza kuwa insane, na kumuasi Mungu, akaandika kitabu cha "Mhubiri"

Ukizisoma Mithali na kumsoma Mhubiri, unaweza usiamini vitabu hivyo viwili vimeandikwa na mtu mmoja!

Pasco.



Although the book begins with a title ascribing the proverbs to Solomon, it is clear from later chapters that he was not the only author of the book. Source: NIV Bible | Proverbs | Biblica
 
Hapana mimi siyo Chief huyu yuko AZANIA BANK na alikuwa form 3/4 K,mimi utanijuwa tuuu bwana PASCO hata pale Calabash huwa nakuja tukionana nitakuambia kuwa mimi ndo UPANGA kisha utanifahamu.
 
Mkuu za Leo, kwa kuongezea tuu, baba yake na Mfame Suleiman ni Mfalme Daudi, huyu Daudi, alimtamani mke wa jemedari wake aitwae Uria, akamtuma vitani ili afe naye kujitwalia huyo mjane na kumfanya mkewe ndipo akamzalia Suleiman!. Suleiman alikuwa na wake 800 na masuria 200, jumla ni 1,000. Pamoja na utajiri na wake wote alionao, pia alipewa hekima kuliko watu wote na kosa lake ni moja tuu, tamaa ya "chini", hivyo alipokuja kutembelewa na Queen of Sheba, akaomba na kukubaliwa, akapata nae mtoto!. Kwa vile huyu Queen Sheba, hakumwanini Mungu wa Israel, Mfalme Suleiman aliwehuka (alikuwa genius) na kutangatanga porini hadi mwisho wa maisha yake, na mali zake zote, zikapururwa na yule Queen of Sheba na zimehifadhiwa chini ya milima ya Abysinia na ndilo chimbuko la Mashimo ya Mfame Suleiman!.

Daudi ndiye aliyeandika kitabu cha Zaburi, Suleiman aliandika Mithali wakati akiwa na busara, alipoanza kuendekeza tamaa ya "chini" akaandika "wimbo ulio bora" na mwisho alipoanza kuwa insane, na kumuasi Mungu, akaandika kitabu cha "Mhubiri"

Ukizisoma Mithali na kumsoma Mhubiri, unaweza usiamini vitabu hivyo viwili vimeandikwa na mtu mmoja!

Pasco.
Mkuu Pasco, Wow! umeniingiza darasani upya. Ndio maana Neno la Mungu ni Tamu sana kila siku. "Nilifurahi nilipoambiwa nikae nyumbani mwa Bwana" Pale "CHINI" ndugu yangu ni mwisho sana. Panaangusha hata mibuyu. Sasa pamoja na pilau kuingia mchanga bado tu hakieleweki! Dakika mbili tu lakini akili hupaa, zinarudi baada ya dakika mbili wakati it is too late. Kama unadhani nabisha kamuulize Samson alivyofanywa na Delila. Ndo maana nasema wanawake wana nguvu kuliko simba jike. Adam hauona ndani kwa Hawa, madhara yake mpaka leo tunaokota makopo pachoni pa Mungu, si lolote mtoto wa Adam, kiburi tu. Ati ukiona mwanaume amefanikiwa ujue kuna mwanamke nyuma yake. Du! Kumbe ndivyo alivyoishia Suleiman? Na vizazi hivi vya leo na vijavyo kila anayetaka kuwa genius Mungu anamzuia kwa kumwokotesha makopo au? Heri nibaki kama nilivyo. nawaona matajiri wanavyokesha kwa hofu ya kufa wakati mimi naona usiku ni mfupi natamani nilale tuuuuuu!
 
Mkuu Pasco, umeniingiza darasani upya! Kumbe ndo aliishia hivyo Suleiman? Kudhani yule ambaye Daudi alizaa naye alikufa? Ndo maana Neno la Mungu ni Tamu sana kila siku. Pale chini bwana ni mwisho sana. Dakika mbili tu lakini impact yake inadumu vizazi hata vizazi. Ona sasa kila anayeinukia ugenius anavurugwa akili na kuokota makopo! Ati kila mwanaume anapofanikiwa kuna mwanamke nyuma yake. Du! Mi nasema mwanamke ana nguvu kuliko simba jike. Ndo maana Mungu alipomwangalia Adam baada ya kumuumba akaona ni zube tu lile, akamtengenezea mwanamke, alipoamka akabaki kushangaashangaa tu na kisha kulizwa baadaye, aliumbwa ati awe MSAIDIZI, nani ana nguvu avayaye na azsaidiaye kufanya?? Wanaume tumepigwa ngwara laini tu. Kama unadhani nabisha kamuulize Samson alivyofanywa na Delila. Dakika mbili tu lakini cost yake usipime!
 
Kuna mstari mwembamba sana unaotofautisha kati ya akili nyingi na uendawazimu. Inaonekana jamaa alikuwa nazo nyingi zikapitiliza. Kama walimu wenzake wapo kwa nini wasimchukue wampeleke Muhimbili au Mirembe akapate tiba ya afya ya akili badala ta kumuacha akihangaika hapo maeneo ya chuo?[/QUOTE]


hivi unafikiri ni rahisi sana kwa binadamu wa leo?jinsi unavyoona leo watanzania wengi wanaishi ka tabu kubwa na maisha duni ilhalii kila siku tunashuhudia mafisadi wanaiba tututu ndio hilokila mtu anaipenda nafsi yake?kwa hilo inahtaji roho wa mungu
 
Although the book begins with a title ascribing the proverbs to Solomon, it is clear from later chapters that he was not the only author of the book. Source: NIV Bible | Proverbs | Biblica
Mkuu Zomba, tukianza kuzama kwenye syntax ya Bible, nani aliandika nini, tutaishia kupotea!. Hata vile vitabu vitano vya mwanzo, Mwanzo, Kutoka, Hesabu, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu la Torati, vinavyoelezewa viliandikwa na Musa, waataalamu wa Syntax na graphology, wamethibitisha sio vyote, vimeandikwa na Musa, kuna viklivyo andikwa na Musa na kuna vilivyoandikwa na waandishi wengine!, the same applies kwenye zile Injili 4!.
 
Mkuu Zomba, tukianza kuzama kwenye syntax ya Bible, nani aliandika nini, tutaishia kupotea!. Hata vile vitabu vitano vya mwanzo, Mwanzo, Kutoka, Hesabu, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu la Torati, vinavyoelezewa viliandikwa na Musa, waataalamu wa Syntax na graphology, wamethibitisha sio vyote, vimeandikwa na Musa, kuna viklivyo andikwa na Musa na kuna vilivyoandikwa na waandishi wengine!, the same applies kwenye zile Injili 4!.

Sasa kwanini anajidai kimeandikwa na Solomon? kwanini adanganye? si aseme "anaesemekana".
 
... Suleiman aliandika Mithali wakati akiwa na busara, alipoanza kuendekeza tamaa ya "chini" akaandika "wimbo ulio bora" na mwisho alipoanza kuwa insane, na kumuasi Mungu, akaandika kitabu cha "Mhubiri"

Pasco.

Pasco, hapo nimekuvulia kofia! Ma'clerics' wengi tu hawana ufahamu (knowledge) ya kufanya analysis kama hii..
 
Mkuu za Leo, kwa kuongezea tuu, baba yake na Mfame Suleiman ni Mfalme Daudi, huyu Daudi, alimtamani mke wa jemedari wake aitwae Uria, akamtuma vitani ili afe naye kujitwalia huyo mjane na kumfanya mkewe ndipo akamzalia Suleiman!. Suleiman alikuwa na wake 800 na masuria 200, jumla ni 1,000. Pamoja na utajiri na wake wote alionao, pia alipewa hekima kuliko watu wote na kosa lake ni moja tuu, tamaa ya "chini", hivyo alipokuja kutembelewa na Queen of Sheba, akaomba na kukubaliwa, akapata nae mtoto!. Kwa vile huyu Queen Sheba, hakumwanini Mungu wa Israel, Mfalme Suleiman aliwehuka (alikuwa genius) na kutangatanga porini hadi mwisho wa maisha yake, na mali zake zote, zikapururwa na yule Queen of Sheba na zimehifadhiwa chini ya milima ya Abysinia na ndilo chimbuko la Mashimo ya Mfame Suleiman!.

Daudi ndiye aliyeandika kitabu cha Zaburi, Suleiman aliandika Mithali wakati akiwa na busara, alipoanza kuendekeza tamaa ya "chini" akaandika "wimbo ulio bora" na mwisho alipoanza kuwa insane, na kumuasi Mungu, akaandika kitabu cha "Mhubiri"

Ukizisoma Mithali na kumsoma Mhubiri, unaweza usiamini vitabu hivyo viwili vimeandikwa na mtu mmoja!

Pasco.

Mkuu kumbe na wewe ni mzima kwenye haya mambo ya Biblia?

Ila ungemalizia na Historia ya Mfalme Menelik wa Ethiopia ingependeza zaidi ingawa hii sasa siyo ya kibiblia zaidi.
 
ndugu Mkurabitambo unataka kutupa ujumbe gani?? hebu funguka vizuri!

Sawa kabisa hili ni jukwaa la siasa, Nini unasema hapa? Mwishoni unazitaja kampeni za siasa then? nini kilifuata kuunganisha na jukwaa hili?
 
Mkuu za Leo, kwa kuongezea tuu, baba yake na Mfame Suleiman ni Mfalme Daudi, huyu Daudi, alimtamani mke wa jemedari wake aitwae Uria, akamtuma vitani ili afe naye kujitwalia huyo mjane na kumfanya mkewe ndipo akamzalia Suleiman!. Suleiman alikuwa na wake 800 na masuria 200, jumla ni 1,000. Pamoja na utajiri na wake wote alionao, pia alipewa hekima kuliko watu wote na kosa lake ni moja tuu, tamaa ya "chini", hivyo alipokuja kutembelewa na Queen of Sheba, akaomba na kukubaliwa, akapata nae mtoto!. Kwa vile huyu Queen Sheba, hakumwanini Mungu wa Israel, Mfalme Suleiman aliwehuka (alikuwa genius) na kutangatanga porini hadi mwisho wa maisha yake, na mali zake zote, zikapururwa na yule Queen of Sheba na zimehifadhiwa chini ya milima ya Abysinia na ndilo chimbuko la Mashimo ya Mfame Suleiman!.

Daudi ndiye aliyeandika kitabu cha Zaburi, Suleiman aliandika Mithali wakati akiwa na busara, alipoanza kuendekeza tamaa ya "chini" akaandika "wimbo ulio bora" na mwisho alipoanza kuwa insane, na kumuasi Mungu, akaandika kitabu cha "Mhubiri"

Ukizisoma Mithali na kumsoma Mhubiri, unaweza usiamini vitabu hivyo viwili vimeandikwa na mtu mmoja!

Pasco.

................wewe lazima utakuwa mgalatia tu ! ndo wenye stori za uzushi, yaani Suleiman aliandika kitabu akiwa chizi ! aiseeh !
 
Pasco, hapo nimekuvulia kofia! Ma'clerics' wengi tu hawana ufahamu (knowledge) ya kufanya analysis kama hii..

yaani analysis ya kusema Nabii kamuasi MungUna hapo hapo ni mzinifu ! Nyie Wagalatia mna uchizi wa aina yake ! Soma Qur'an tukufu uone Suleiman anavyosifiwa ! Hivi Nabii anaweza kumuasi Mungu ?!
 
Ndugu zake wahangaike makanisani akaombewe sana kama kuna mkono wa mtu yataisha tu hakuna kurogwa milele mbele ya neno la Mungu,yatakimbia mapepo na majini yoote na atarudi kama kawaida akili zake kama hazijaaribika kabisa ataweza tena kuwa kawaida kabisa!!!wahangaike kwenye maombi!

Well said mkuu....
 
na kuna mwingine pale SUA anaye alikuwa profesa, huwa anakaa karbu na madarasa/ofice za soil science na pia karbu na library pale main compus, vp ilikuaje? kwa anae jua.

Hata Muhas yupo yeye alikuwa Daktari kabisa..huwa anapenda kuzunguka maeneo ya round about huku akiimba. Akimaliza hapo huwa anakuja maeneo ya kafteria anaomba wanafunzi pesa ya chakula.

Jamaa yupo fit sana alinipigia pindi la micribiology sikuamini macho yangu..Inasikitisha sana.
 
Hajalogwa kweli huyo??,
Hayo ndio maneno rahisi ya kusema... inawezekana amerogwa! Lakini je amerogwa na nani? hilo ndilo swali.. kwa sababu walozi tulio nao ni wengi kuliko uhalisia...

1. waajiri wenyewe ndio walozi wa kwanza kwa kushindwa kwao kujali maslahi ya waajiriwa wao... mtu anatoa kuliko anacholipwa.. akirudi nyumbani nako kuna moto mwingine bado haitoshi mtaani anakutana na mauza-uza mengine! kote hakuna amani je hajalogwa hapo na mazingira? maana mtu inampasa atafute kitumbadala cha kumpunguzia madhila na kuchanganyikiwa ndipo anapodumbukia katika majanga mabaya zaidi... na ikishatokea hivyo haku
na anaemjali tena bali utasikia "bangi hizo" "unadhani kubwia mchezo" n.k.

Taifa hili haliwajali wataalamu wake wakiwa wazima je unadhani wakiugua inakuwaje?

Pole Nyakua Nyakitita, Mwenyezi Mungu amfungue hivyo vifungo na kumuondolea taabu maana hakuna kama yeye. Na ni yeye tunayemtumainia katika afya zetu. Aamin.
 
Mkuu za Leo, kwa kuongezea tuu, baba yake na Mfame Suleiman ni Mfalme Daudi, huyu Daudi, alimtamani mke wa jemedari wake aitwae Uria, akamtuma vitani ili afe naye kujitwalia huyo mjane na kumfanya mkewe ndipo akamzalia Suleiman!. Suleiman alikuwa na wake 800 na masuria 200, jumla ni 1,000. Pamoja na utajiri na wake wote alionao, pia alipewa hekima kuliko watu wote na kosa lake ni moja tuu, tamaa ya "chini", hivyo alipokuja kutembelewa na Queen of Sheba, akaomba na kukubaliwa, akapata nae mtoto!. Kwa vile huyu Queen Sheba, hakumwanini Mungu wa Israel, Mfalme Suleiman aliwehuka (alikuwa genius) na kutangatanga porini hadi mwisho wa maisha yake, na mali zake zote, zikapururwa na yule Queen of Sheba na zimehifadhiwa chini ya milima ya Abysinia na ndilo chimbuko la Mashimo ya Mfame Suleiman!.

Daudi ndiye aliyeandika kitabu cha Zaburi, Suleiman aliandika Mithali wakati akiwa na busara, alipoanza kuendekeza tamaa ya "chini" akaandika "wimbo ulio bora" na mwisho alipoanza kuwa insane, na kumuasi Mungu, akaandika kitabu cha "Mhubiri"

Ukizisoma Mithali na kumsoma Mhubiri, unaweza usiamini vitabu hivyo viwili vimeandikwa na mtu mmoja!

Pasco.

Nimekuvulia kofia...Natamani ni borrow a leaf from you.
 
ndipo aMkuu za Leo, kwa kuongezea tuu, baba yake na Mfame Suleiman ni Mfalme Daudi, huyu Daudi, alimtamani mke wa jemedari wake aitwae Uria, akamtuma vitani ili afe naye kujitwalia huyo mjane na kumfanya mkewe kamzalia Suleiman!. Suleiman alikuwa na wake 800 na masuria 200, jumla ni 1,000. Pamoja na utajiri na wake wote alionao, pia alipewa hekima kuliko watu wote na kosa lake ni moja tuu, tamaa ya "chini", hivyo alipokuja kutembelewa na Queen of Sheba, akaomba na kukubaliwa, akapata nae mtoto!. Kwa vile huyu Queen Sheba, hakumwanini Mungu wa Israel, Mfalme Suleiman aliwehuka (alikuwa genius) na kutangatanga porini hadi mwisho wa maisha yake, na mali zake zote, zikapururwa na yule Queen of Sheba na zimehifadhiwa chini ya milima ya Abysinia na ndilo chimbuko la Mashimo ya Mfame Suleiman!.

Daudi ndiye aliyeandika kitabu cha Zaburi, Suleiman aliandika Mithali wakati akiwa na busara, alipoanza kuendekeza tamaa ya "chini" akaandika "wimbo ulio bora" na mwisho alipoanza kuwa insane, na kumuasi Mungu, akaandika kitabu cha "Mhubiri"

Ukizisoma Mithali na kumsoma Mhubiri, unaweza usiamini vitabu hivyo viwili vimeandikwa na mtu mmoja!

Pasco.

...............Soma Qur'an inavyozungumzia kizazi chake Suleiman kisha hao wote Allah SWT anasema kawafanya watu "wema" kisha linganisha na upuuzi ulioandika hapo juu !!

".................Na tukamtunukia (Ibrahim) Is'haq (Issack) na Yaakub (Jacob). Kila mmoja wao tulimuongoa . Na Nuhu (Noah) tulimuongoa kabla. Na katika kizazi chake tulimuongoa Daud na Suleiman na Ayyub, na Yussuf na Mussa na Haruun. Na hivi ndivyo tunaowalipa wafanyao wema.

Na Zakaria na Yahya (Yohana Mbatizaji) na Issah (Yesu) na Ilyas (Eliyah). Wote walikuwa miongoni mwa watu wema.

Na Ismael, na Al Yasaa, na Yunus na Lut'. Na wote tuliwafadhilisha juu ya walimwengu wote.

Na kutokana na baba zao, vizazi vyao na ndugu zao. Na tukawateuwa na ttukawaongoa kwenye njia iliyo nyooka.
Qur'an 6: 84-87
 
Back
Top Bottom