Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,601
Asante Mkuu Mwanamageuko, kwanza nakubaliana na wewe kwa asilimia 100%, ubishi wa ngu na Ally ni kuamini kuwa manabii walifanya kila kitu right, hata Musa did something wrong na aliadhibiwa kwa kutoingia nchi ya ahadi!.Ndoa za zamani ilikuwa makubaliano baina ya wazazi na muowaji na hazikujalisha umri, ndio maana kuna baadhi ya mabibi zetu waliolewa wakiwa wangali mimba! na suala la age katika mapenzi na ndoa huwa halijalishi na ikiwa alimuoa mke mmoja kwa utajiri wake je wale wengine pia walikuwa matajiri? Jawabu ni hapana hawakuwa matajiri, na ukifuatilia historia kamili utapata majibu. Na ukitazama da vinci zile picha pia ni matusi kwa nabii Issa (Jesus) lakini kwa sababu zimetoka magharibi hapana anaetaka kulisema hilo wala kulikemea. na si hivyo tu picha ile inafafanua aya zilizomo katika agano jipya ambayo pia ni tusi kwa masihi. Sitoweka picha hizo hapa kwa heshima ya Masihi.
Why_did_Prophet_Muhammad_PBUH_married_to_many_wives
Please tusizame deep tukaishia ku hurt feelings za watu kuhusu viongozi wetu wa dini.
Asante.
P.