GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 161
Mabibi na mabwana!
Mie bwana nina shemeji/ wifi yenu ambaye nina kama mwaka mmoja hivi tangu tuanze mahusiano, ninaishi homu kwa dingi (servant quarter! umri wangu ni 25-27 bado nipo nipo!!), nina miaka 2 tangu nimalize chuo na mwaka mmoja na nusu tangu nianze kazi kampuni fulani.
Sasa bibie siku moja nilimwambia ninampango wa kutoka homu nianze kujitegemea, akaniambia nina haraka ya nini wakati bado natakiwa kujipanga na kujijenga kwanza?. sasa nikawa najiuliza hivi vitu maana yake nini haswa?
Nikaona isiwe tabu wacha nilipeleke hili suala JF watanisaidia kunielimisha. Naombeni mawazo yenu kujijenga na kujipanga shemeji/ wifi yenu alikua anamaanisha nini msaada plz
Nawasilisha.
Mie bwana nina shemeji/ wifi yenu ambaye nina kama mwaka mmoja hivi tangu tuanze mahusiano, ninaishi homu kwa dingi (servant quarter! umri wangu ni 25-27 bado nipo nipo!!), nina miaka 2 tangu nimalize chuo na mwaka mmoja na nusu tangu nianze kazi kampuni fulani.
Sasa bibie siku moja nilimwambia ninampango wa kutoka homu nianze kujitegemea, akaniambia nina haraka ya nini wakati bado natakiwa kujipanga na kujijenga kwanza?. sasa nikawa najiuliza hivi vitu maana yake nini haswa?
Nikaona isiwe tabu wacha nilipeleke hili suala JF watanisaidia kunielimisha. Naombeni mawazo yenu kujijenga na kujipanga shemeji/ wifi yenu alikua anamaanisha nini msaada plz
Nawasilisha.