REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Watanzania mnapenda sana kupiga makelele,sasa hapo cha ajabu kipi Joshua kutoenda leo?
hakuna kanuni yoyote amevunja.Chadema wana akili sana walijua leo wabunge wengi wa Magamba
hawatakuwepo sababu ya Jelous ili wasimuone J Nassari anavyoingia mjengoni na kuapishwa,
hivyo atakapoingia watakuwepo na ataapishwa mbele yao.
hakuna kanuni yoyote amevunja.Chadema wana akili sana walijua leo wabunge wengi wa Magamba
hawatakuwepo sababu ya Jelous ili wasimuone J Nassari anavyoingia mjengoni na kuapishwa,
hivyo atakapoingia watakuwepo na ataapishwa mbele yao.