Nini kimempata Nassari?

Ataapishwa kesho leo ndo ameondoka Arusha kwenda Dodoma.
Hapana mkuu, ataapishwa kesho kutwa.

Kulikuwa na kutoelewana baina ya viongozi wa Chadema waliopo hapa Dodoma na Uongozi wa bunge. Chadem waliomba wabunge Hao waapishwe kesho, lakini kanuni zinasema wabunge wapya wataapishwa simu ya kikao cha kwanza na shughuli hiyo itakuwa ya kwanza. Lakini katibu wa bunge hakuwaeleza hivyo Chadema na ndio maana hats matangazo yaliyotolewa awali yalionyesha kuwa hawataapishwa Leo. Lakini kikao Kilipoanza ash ikaonekana kwenye order paper kuwa uapishwaji unapaswa kuwepo. Lakini Chadema na bunge wameelewana na sass Nassari na mwenzake wataapishwa Alhamis. Ksho Nassari atafanyiwa orientation.

Msafara wake, ukiongozwa na Mbowe na magari zaidi ya kumi ndio umeingia Dodoma kwa mbwembwe kama nusu saa iliyopita
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Maneno aliyoyatoa spika kwamba kutokana na wabunge hao kutokuwepo leo watasubiri mpaka kamati ya bunge iwapangie muda wakati mwingine.Je kwa kipindi hiki kuanzia kesho watakuwepo watakaa nje ya bunge bila kuhudhuria?Je spika aliwataarifu kwamba wanapaswa wawepo wakati wa kuanza kikao hiki ili wasije wakalaumiwa.Mwisho kama ushauri ofisi ya spika ifanye kazi kwa haki na si kwa jazba ili bunge liwe chombo mahsusi cha wananchi.Naomba kuwasilisha.

Kwani ukikata rufaa unaapishwa tena? hebu nisaidieni hapo unajua tena ugeni katika sheria!
 
Naibu kiongozi wa upinzani Bungeni Mh Zitto amekiri CDM hakikusoma vizuri kanuni za bunge. Ameomba msamaha kwa spika, sasa wataapishwa alhmamisi. Jumatano watakuwa wanapewa maelekezo jinsi bunge linavyofanya kazi.

Siamini kuwa wabunge wote wawili hawakujua siku ya kuapishwa! Au hata Kiongozi wa upinzani bungeni, au hata huyo Zitto mwenyewe hawakujua nini kinaendelea? Hapa kuna kamchezo na upande mmoja umeshituka. tutajua tu!
 
Hapana mkuu, ataapishwa kesho kutwa. Kulikuwa na kutoelewana baina ya viongozi wa Chadema waliopo hapa Dodoma na Uongozi wa bunge. Chadem waliomba wabunge Hao waapishwe kesho, lakini kanuni zinasema wabunge wapya wataapishwa simu ya kikao cha kwanza na shughuli hiyo itakuwa ya kwanza. Lakini katibu wa bunge hakuwaeleza hivyo Chadema na ndio maana hats matangazo yaliyotolewa awali yalionyesha kuwa hawataapishwa Leo. Lakini kikao Kilipoanza ash ikaonekana kwenye order paper kuwa uapishwaji unapaswa kuwepo. Lakini Chadema na bunge wameelewana na sass Nassari na mwenzake wataapishwa Alhamis. Ksho Nassari atafanyiwa orientation.
Masafara wake, ukiongozwa na mbowe na magari zaidi ya kumi ndio umeingia D odom a kwa mbwembwe Kama nusu saa iliyopita

Asante kamanda Mpita Njia kwa kutujuza! wadau tulikuwa na usongo wa kuona dogo janja anavyokula kiapo na pia kushuhudia akina Mwigulu waking'aa sharubu!
 
Hapana mkuu, ataapishwa kesho kutwa. Kulikuwa na kutoelewana baina ya viongozi wa Chadema waliopo hapa Dodoma na Uongozi wa bunge. Chadem waliomba wabunge Hao waapishwe kesho, lakini kanuni zinasema wabunge wapya wataapishwa simu ya kikao cha kwanza na shughuli hiyo itakuwa ya kwanza. Lakini katibu wa bunge hakuwaeleza hivyo Chadema na ndio maana hats matangazo yaliyotolewa awali yalionyesha kuwa hawataapishwa Leo. Lakini kikao Kilipoanza ash ikaonekana kwenye order paper kuwa uapishwaji unapaswa kuwepo. Lakini Chadema na bunge wameelewana na sass Nassari na mwenzake wataapishwa Alhamis. Ksho Nassari atafanyiwa orientation.
Masafara wake, ukiongozwa na mbowe na magari zaidi ya kumi ndio umeingia D odom a kwa mbwembwe Kama nusu saa iliyopita

Magari zaidi ya 10 X how many litres of petrol=KODI ZETU.
 
Kilichompata Nassari ni kuoa asiyeoa Arumeru. Mbele ya mkwe wa asiyeoa na raisi mstaafu.

Swali jingine? Orayt kakojoe ulale.
 
Ninachoona hapa CHADEMA wameshausoma mchezo wa CCM na kuulewa vizuri na sasa wanawapiga danadana hawa vikongwe (ccm).
 
Bunge lina utaratibu wa shughuli za kutenda, siku ilishapangwa na ikifika utaona!!!!!!
 
Katibu wa Bunge aliombwa rasmi kuwa Wabunge hao waapishwe J'tano na akakubali, na ndio maana Nasari ameondoka leo kuja Dom na msafara wake tayari kwa kuapishwa kesho, lakini cha kusikitisha ni kuwa Bi Kiroboto jana saa 4 usiku aliamua kwa nguvu kuwa lazima waapishwe leo kwa kuwa eti yeye atakuwa safarini hiyo J'tano, huku akijua fika kuwa Bunge halitaahirishwa kwa kusafiri kwake, labda afe, bali kazi zake zitaendeshwa na naibu wake. Amefanya hivyo makusudi akijua kuwa wabunge hao, hasa Nasari asingeweza kuwahi kutokana na mabadiliko hayo ya ghafla, hivyo kuwafanya CDM waonekane wakorofi na kuiharibu festive mood ya wanaCDM, lakini definitely ataumbuka mwenyewe kwa usanii wake kwani ukweli wote utawekwa hadharani.
 
Muangalieni vizuri na kwa karibu bibi Kiroboto, siku hizi ana unholy alliance na Zitto!!
 
Ninachoona hapa CHADEMA wameshausoma mchezo wa CCM na kuulewa vizuri na sasa wanawapiga danadana hawa vikongwe (ccm).
CDM chama makini, CCM walitaka aapishwe leo j4 kwa vile wabunge wengi wa CCM wangekuwa dar kwenye mazishi, sasa ni Alhamis hata kama kesho watajidai wako safarini kesho kutwa lazima wampigie makofi dogo janja hawana choice.
 
Back
Top Bottom