Ngahekapahi
JF-Expert Member
- May 8, 2012
- 553
- 366
Natambua vizuri kabisa wanawake ni wazuri sana wa kulipiza kisasi. Kwa kuwa umegundua mwanaume Anatolia nje ,then na wewe unatoka mpaka unazaa nje ili tu kulipiza kisasi, ni sawa,Ila Nina uhakika hiyo kitu inakuwa inakutafuna inside mpaka basi. Lakini kwa mwanaume wala hajutii sana sababu in nature,wala hajilazimishi, yaani kwa mwanaume ni so autimatic. So hata Kama mwanaume atajikuta azalea mtoto asiye wake so far as hajui Kama si wake wala haina shida. Shida unakuwa Mayo wewe unayejua ukweli. So ukweli unabaki hapo, wether you like it or not kwenye hili kushindana na wanaume haiwezekani. Sababu kwa wanaume its naturally ,it's in our blood. As for you mnafanya katika hali ya kulipiza kisasi,na inakuwa inakutafuna inside.