ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,229
- 88,583
Ni mambo magumu kiongozi, zipo sababu nyingi kweli. Ila mimi siafiki kuwa "ni nature ya mwanaume", mbona Mungu hakumuumba Adam na wanawake wengi?Si kweli ,kama wewe ni mwanaume nadhani utakuwa unaona wanaume wengi tu watu wazima from 50 and above jinsi wanavyo chepuka ,tena na mabinti wadogo tu.