Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,800
- 4,851
very trueAisee...
Wanawake shida yenu wabinafsi sana. Naturally wanawake hamuwahitaji wanaume.. ndo maana hamuwezi kutongoza. Kwa hiyo ninyi mnahitaji just kupendwa na kuhakikishiwa some form of security.. baasi.
Sisi wanaume story ni tofauti. Wabishi flan watasema hiyo ni tabia tu mbaya ya wanaume,, but ukweli ni kuwa wanaume wanawahitaji wanawake, tena si kidogo. Ukiondoa masuala ya kimagharibi, wanaume wanawza kuwa na wake watano na hamna tatizo.
Michepuko lioneni tu kama swala la kawaida.