Baba Mkubwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 793
- 58
wana wee
Wewe......shemeji yako huyo ebo.............Mke wangu huyo(unajifanya hujui eeeeeeeeeeeh)!!!!!!!
Kwani mimi nitakuwa wa kwanza kuwa na shemeji yangu? bht japo nipate neno tamu kutoka kwako kuwa umekubali leo niwe na wewe japo kwa masaa mawili, nami humu niweke kajihistoria kuwa JF nilipendwa, temporarily, na bht.......