Mgoogle upatate details, kama hapatikani huko fanya kautafiti kako mwenyewe kutumia watu unaowaamini. Hii Hii inafanyika kIla kukicha mtu akimzimia mtu asiyemjua atatumia wapambe wake 'wamuulizie'.
Mkuu umenisoma vizuri.Simfahamu kabisa jamaa.Namjua kwa jina bandia sio kwa jina halisi hivyo siwezi kugoogle nikapata details zake.Hata rafiki zake wa karibu pia siwafahamu.Ninaendelea kumfuatilia kwa karibu.
Naamini penye nia pana njia na kama imepangwa utafanikiwa. Tumia ulichonacho na source yake, hilo jina hata kama ni bandia usitie shaka, wako watu wanafahamika zaidi kwa majina bandia kuliko majina yao halali.
Unaboa babu...........
Umeonaa eeh,anaboa sana..Vipi hujambo wewe?umenikimbia tena,unavituko wewe?na kufukuza muda si mrefu kwenye list yangu,ha ha ha!
Mbona nipo.....mi nikajua umeamua kunipotezea............hahaaaaaaaaa
Sijakupotezea ila nadhani mtandao ndio unasumbua,kwangu naona uko offline...