1.Usiwe na haraka,kumbuka haraka haraka haina mbaraka.
2.Kama ni mzungu mweleze moja kwa moja UMEMPENDA.
3.Kama ni mbongo,mnawasiliana nae kwa kiswahili,jishaue kidogo kwanza,usimweleze,atakudengulia,ukimpeperusha njiwa,akiruka humpati tena.
4.Kazi kubwa ya kufanya ni kujilengesha kwake.SIJUI NAELEWEKA?
5.Kumbuka time is money wawezajuta baadae kwanini hukufanya timiming.
6.Weka mitego aweza nasa kati ya mtego wako mmoja.
7.Nakupongeza sana kwa kujaribu kupata unachokipenda,wanawake wengi isipokuwa wa humu JF amini usiamini wana watu ambao hawawapendi,.
8.Katika mapenzi ya kudumu,kinachodumu ni tabia ya mtu.sura,umbo vyote hivyo ni vya muda tu vinapita,ukipenda sura halafu aje agongwe na gari utampa taraka?.Kinachodumu ni tabia yake,hiyo utaishi nayo milele.Utagundua kuwa ulichompendea ni tabia zake kwa jinsi anavyojieleza.
9.Mambo mengine kwetu huwa magumu lakini mepesi sana kwa Mungu.Mwombe mungu utashangaa siku si nyingi yupo kifuani mwako.Ili
mradi tu uwe na nia njema.Ikishindikana ujue Mungu hakupenda na huenda huyo mtu angekuletea maafa maishani.
10.Wasiliana nae kila siku huku ukiomba samahani kwa vile kama ana kazi nyingi,unaweza ukawa unamkera.
11.Msome interest zake ninini na wewe kuanzia leo hamia kwenye interest hizohizo za kwake, eeeeh unashangaa nini sasa?
12.Kila siku pata angalau detail yake moja muhimu,kwa kumuuliza kiindirect paipokujua nia ya swali lako.ASIPO JIBU,JIBU UNALO.
13.Kumbuka kuwa sisi wanaume tuna roho nzuri,hawezi kukuletdown
14.Hiyo ndio raha ya mapenzi,upate ukitakacho ebo.NAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA.
YAPO MAMBO MENGI,NIWAACHIE WENZANGU WAENDELEE.
2.Kama ni mzungu mweleze moja kwa moja UMEMPENDA.
3.Kama ni mbongo,mnawasiliana nae kwa kiswahili,jishaue kidogo kwanza,usimweleze,atakudengulia,ukimpeperusha njiwa,akiruka humpati tena.
4.Kazi kubwa ya kufanya ni kujilengesha kwake.SIJUI NAELEWEKA?
5.Kumbuka time is money wawezajuta baadae kwanini hukufanya timiming.
6.Weka mitego aweza nasa kati ya mtego wako mmoja.
7.Nakupongeza sana kwa kujaribu kupata unachokipenda,wanawake wengi isipokuwa wa humu JF amini usiamini wana watu ambao hawawapendi,.
8.Katika mapenzi ya kudumu,kinachodumu ni tabia ya mtu.sura,umbo vyote hivyo ni vya muda tu vinapita,ukipenda sura halafu aje agongwe na gari utampa taraka?.Kinachodumu ni tabia yake,hiyo utaishi nayo milele.Utagundua kuwa ulichompendea ni tabia zake kwa jinsi anavyojieleza.
9.Mambo mengine kwetu huwa magumu lakini mepesi sana kwa Mungu.Mwombe mungu utashangaa siku si nyingi yupo kifuani mwako.Ili
mradi tu uwe na nia njema.Ikishindikana ujue Mungu hakupenda na huenda huyo mtu angekuletea maafa maishani.
10.Wasiliana nae kila siku huku ukiomba samahani kwa vile kama ana kazi nyingi,unaweza ukawa unamkera.
11.Msome interest zake ninini na wewe kuanzia leo hamia kwenye interest hizohizo za kwake, eeeeh unashangaa nini sasa?
12.Kila siku pata angalau detail yake moja muhimu,kwa kumuuliza kiindirect paipokujua nia ya swali lako.ASIPO JIBU,JIBU UNALO.
13.Kumbuka kuwa sisi wanaume tuna roho nzuri,hawezi kukuletdown
14.Hiyo ndio raha ya mapenzi,upate ukitakacho ebo.NAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA.
YAPO MAMBO MENGI,NIWAACHIE WENZANGU WAENDELEE.