mwalimally
Member
- Apr 23, 2010
- 21
- 1
Kupenda ni maumbile ya binadamu hivyo ni haki yako. Cha msingi pata habari zake zaidi kama yuko single and available jaribu bahati yako if its work out atakuwa wako. Na ikishindikana na kwakuwa wampenda mwache aende kwani huwa tunawatakia furaha tuwapendao. Kila la heri