Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
hahaha nimecheka kweli, yaani mtu kasema mchambuzi wa mambo ya kisiasa basi mnanibebesha mimi mzigo; mkivunja ndoa yangu I will neva forgive you.. !
ha ha ha...haiwezekani watu zaidi ya watatu tuhisi kitu kimoja...mimi nilivyosoma tu mawazo yangu yalinipeleka kwako hata kabla sijaona post ya babukijana...he he he at last JF tuna harusi inakuja