Huyo mwanafunzi kapata mkopo kweli? Kama amepata ufanyike utaratibu wa kumnyang'anya hela inayotokana na kodi zetu kwani kuna kila dalili atakuja kuwa USELESS kwa taifa hapo baadaye. Wenzie wanataka katiba mpya, kuwawekea dhamana wenzao walio sero, yeye anashugulikia malavidavi. Ashukuru kitufe cha kubonyeza DISCO kimeibiwa na Kawambwa.
bangi mbaya sana....
Siongezi neno!Unategemea nini kutoka kwa watoto waliofundishwa na half baked teachers (voda fasta)????
Enzi zetu hata form I (single cell, amoeba, mswaki etc), alikuwa hawezi kuandika upuuzi wa namna hii!! Ndio maana bodi inawanyima mikopo halafu wanabaki kucheka cheka kama vitoto vya ndege vilivyofiwa na mama yao!!
Inachekesha sana, lakini huo ndio ukweli, jamaa anatafuta, tena atakuwa engineer huyu jamaa, maana anaonekana hana social gathering za kuweza kukutana na mademu.
Unategemea nini kutoka kwa watoto waliofundishwa na half baked teachers (voda fasta)????
Enzi zetu hata form I (single cell, amoeba, mswaki etc), alikuwa hawezi kuandika upuuzi wa namna hii!! Ndio maana bodi inawanyima mikopo halafu wanabaki kucheka cheka kama vitoto vya ndege vilivyofiwa na mama yao!!
Inachekesha sana, lakini huo ndio ukweli, jamaa anatafuta, tena atakuwa engineer huyu jamaa, maana anaonekana hana social gathering za kuweza kukutana na mademu.