Naomba kama hutojali unipe gharama ya kuweka makabati matatu ya milango miwili na gharama ya jikoni ! Na waliokuwekea ni hao wakenya wenyewe??Mbao zinazodumu zaidi ni mbao ngumu ingawa hizi mbao za siku hizi zinapendeza sana kwa muonekano. Binafsi niliweka mbao ngumu ila kwa kuwa napenda kwenda na wakati, nilibadilisha na kuweka mbao za MDF na kampuni moja ya wakenya. Jiko limenoga utadhani nyumba za Hollywood
Mpaka waje kupima na kuona unataka kufanya nini. Mimi sio mtaalam wa hayo mambo ya ukadiriaji ujenziNaomba kama hutojali unipe gharama ya kuweka makabati matatu ya milango miwili na gharama ya jikoni ! Na waliokuwekea ni hao wakenya wenyewe??