Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
mijanaume mingine bwana....yaani kama ikitembea inajamba!
hahh hhah ahhaaaaaaa...wape wapeeeeeeeeeeeeeeee haoooo..wanapumua sio?i lyk t...
mijanaume mingine bwana....yaani kama ikitembea inajamba!
Ha ha ha ha ha ha ha ha uwiiiiiiii mweeh yaani JF raha wajameni nimecheka kwa key board
mimi nimenunua pilipili mbuzi ya huo ubwabwaHujajinyonga tu? mi nishanunua ndizi kabisa ya kulia ubwabwa wako, masikio nimeyaweka wazi kusubiri taarifa ya kifo hapa pumbaf sana wewe
hahahahah.....lolmijanaume mingine bwana....yaani kama ikitembea inajamba!
tumsaidie bana sis...
atajinyoga eti..
Taifa linamuhitaji..
hiyo mimba changa ndiyo inamuhitaji zaidi!!tumsaidie bana sis...
atajinyoga eti..
Taifa linamuhitaji..
Hahahaha!!!Ni mwazime mnyonyoro wako ....??
maana hauutumii siku hizi...
Hajinyongi huyo wewe huwa hawasemi wanaojinyonga
hiyo mimba changa ndiyo inamuhitaji zaidi!!
Hahahaha!!!
jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?
<br />Jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?
Jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?
<br />mijanaume mingine bwana....yaani kama ikitembea inajamba!