Nimechanganyikiwa! Nimemsaliti GF wangu, kwa kumpa mimba mwingine..

Jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?

Mkuu vp hukuona hiyo njia ingekufanya uje uandike hii post hapa? hapo itabidi uvumilie ka ulivovumilia ulipokuwa unalima..
Al th best..!
 
Jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?

Acha kutudanganya kwenye Red hapo bwana, ungekuwa unampenda ungem cheat? Acha mambo yako bana
 
AD hujawahi hudhuria mazishi ya mtu aliyejinyonga..................unaharaka kweli na mnyororo.........mlinzi aliutumia kufungia mabua ya mahindi alipovuna

nimehudhuria mbili ..

aaaa
huyu mlinzi alituangusha bana
mi nlishajitayarisha kwa mazishi halafu nasiikia bado yuko hai.
mtu anakimbia mimba ambayo hajaibeba ..duuuuuuuhhhh
vipi kuhusu kutunza mtoto sasa kama mimba inamwogopesha hivi..
 
nimehudhuria mbili ..

aaaa
huyu mlinzi alituangusha bana
mi nlishajitayarisha kwa mazishi halafu nasiikia bado yuko hai.
mtu anakimbia mimba ambayo hajaibeba ..duuuuuuuhhhh
vipi kuhusu kutunza mtoto sasa kama mimba inamwogopesha hivi..

Anaotesha mbegu anakimbia mavuno
 
Jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?
<br />
<br />
Jinyonge tu nirithi mrembo mwenye tabia nzuri
 
Jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?

Nae demu wako wa kweli mpige mimba ili asikukimbie
 
Kajinyonge, uamuzi unao mwenyewe. Usituletee upuuzi wako hapa. Mimba utie wewe halafu uulize watu wakusaidie. Mbona wakati wa kutia na sisi hukutuita tukakusaidia. Nyambaf. Vutu wahed.
 
Mbona Strit Boy yuko kimya au ndio tayari kaishafanya mambo ngoja niwatafute ndugu na jamaa zake


Mhhhh Kajukuu,

Naona kijana wa watu mmemvalia njuga...Hivi akishajinyonga mtakuwa nanyi hamjachaniga % kidogo kwenye hiyo process??

Halafu naona wengine wanatukana mamba wakati hata mtoni hawajafika....


Mhhhh....Ngoja babu akapumzike kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom