kama umempa mimba na demu mwenyewe huna mpango nae basi kachukue mimba yako.
Jamani ishu ya kweli acheni utani
Hahahahha...lFB umeniacha hoi....lol! bora tu achukue tu mimba yake...hahahah
OFF TOPIC: Natumaini u mzima wa afyaHahahahha...lFB umeniacha hoi....lol! bora tu achukue tu mimba yake...hahahah
hahahahahaaa! Heh umeona ee? Masaburi yake!
OFF TOPIC: Natumaini u mzima wa afya
Mimi mzima wa afya namshangaa huyu jamaa kuna watu wanatafuta watoto mwaka wa 8 au 10 hawajahi kupata mtoto yeye anatuletea habari za kujinyonga sababu ya mimba yaani kama mtu una fimbo karibu unamchapa masaburi yakeSijambo kabisa TF. Hope nawe u mzima?
Jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?
Mimi mzima wa afya namshangaa huyu jamaa kuna watu wanatafuta watoto mwaka wa 8 au 10 hawajahi kupata mtoto yeye anatuletea habari za kujinyonga sababu ya mimba yaani kama mtu una fimbo karibu unamchapa masaburi yake
Strit boy anasubiri kamba ya kujinyongea imeenda kununuliwaUnajinyonga lini????
naomba mwaliko wa mazishi...
Unajinyonga lini????
naomba mwaliko wa mazishi...
kwani nani anatania? Nenda kajinyonge!
Hujajinyonga tu? mi nishanunua ndizi kabisa ya kulia ubwabwa wako, masikio nimeyaweka wazi kusubiri taarifa ya kifo hapa pumbaf sana wewe
kwa hiyo avune mchicha, akauze soko mjingaa halafu akajinyonge?
Strit boy anasubiri kamba ya kujinyongea imeenda kununuliwa