The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,477
- 6,877
Ningependa kujua pikpiki ikiwa speed 100 na gari ikawa speed 100 je hazitaachana zitaenda sawa? Nimeuliza hivyo kwa maana juzi kati nilikuwa nasafiri na gari land cruiser v8 petrol engen yenye speed 180 na kuna mwenzangu na yeye alikuwa na na land cruiser v8 diesel engen yenye speed 220 lakini alishindwa kumkata mwenye speed 180 hii ina maana gani ?