Ni nini tofauti ya speed katika vyombo vya moto

Tofauti ya gari moja na nyingine haiko kwenye speed kama ambavyo unaiona kwenye dash board, bali iko kwenye vitu hivi vikubwa viwili:
Acceleration (Horse Power) na Torque (Uwezo wa kuvuta mzigo/Tela nk).
Gari nyingi za Petrol zina Horse Power nyingi hivyo kuwa na acceleration kubwa lakini pia zina Torque ndogo.
Yani unaweza ukakuta gari Mathalani GX mia ina Horse power (Uwezo wa Farasi 150) Lakini ukiweka ivute tela ya tani moja gari itashindwa kuondoka na huenda ikazimika). Lakini unakuta gari ya diesel mathalani Fuso ina Uwezo huo huo wa Farasi 150 lakini ukiiwekea ivute tela la tani moja italivuta kama mchezo na hata unaweza ukaondokea kwa gia namba tatu.

Ikija kwenye acceleration:
Ukiishindanisha GX mia na Fuso, GX mia itachomoka kama manyoya na itachukua sekunde chache (say 13 seconds) mpaka kufikia mathalani Speed 100 na wakati Fuso hilo hilo linaweza likachukua sekunde ishirini mpaka kufikia speed 100.

Tofauti ya hizo V8 mbili iko hapo...
V8 ya Petrol inachukua sekunde chache zaidi kuchanganya ukilinganisha na hiyo ya Diesel. Yani kama mmeondoka wote mkiwa na Initial velocity (Speed) Uo =0Km/hr na baada ya sekunde 6 ukapima final velociy Uv, utagundua kuwa ile gari ya Petrol ina uwezo mkubwa wa kuunguza mafuta na kubadili nishati ya mafuta kuwa nishati ya mwendo kuliko nishati a Diesel. Mafuta ya Diesel hayaungui haraka kama Petrol na ndio maana gari nyingi za Diesel zinafungwa kifaa kinachoitwa Turbo. Kifaa hichi husaidia kujaza hewa kwenye injini ili kuchochea combustion (moto) katika engine.
Moja ya kitu kinachosababisha diesel iwe na uwezo mkubwa ni kwa vile Diesel inaungua taratibu na inaungua katika joto kali zaidi kuliko Petrol. Kwa hiyo compresiion ratio ya hewa kwenye cylinder ya engine ya Diesel inaweza kuwa 1:10 wakati ile ya Petrol inaweza kuwa 1:7... Yani hii inamaanisha japo diesel inaungua taratibu, ule mgandamizo wa hewa unaweza kuwa mara kumi zaidi ukilinganishwa na hewa iliyoingia kwenye cylinder wakati ile ya Petrol inaweza kuwa na mgandamizo mara saba zaidi... Mngandamizo unapokuwa mkubwa ina maana kuwa lile pigo la cylinder kuizungusha cranck shafti linakuwa ni la nguvu zaidi.

Hapa ni kama vile katoto kadogo kaje kwa nguvu kakuzabe kofi moja alafu Mike Tyson akupige 'kikofi cha mahaba'. Kofi la nguvu la kale katoto kadogo linaweza likakuacha unatabasamu na wakati kofi moja dogo la Tyson linaweza kukufanya upelekwe hosiptali.
Kwa hiyo pigo moja la engine ya petrol ni sawa nakofi la katoto... Kana nguvu nyingi na kanaweza kakakimbia haraka kuja kukuzaba kofi lakini kofi lake halina nguvu sana. Diesel ni kama Tyson, ana nguvu kidogo ya kukimbia kuja kukuzaba kofi lakini akikupiga kofi lake dogo lina kuwa na nguvu nyingi sana.

Hivyo basi utaona mafuta ya Petrol yakitumika kwenye magari madogo na wakati mafuta ya Diesel yakitumiwa kwenye magari makubwa ambayo yanabeba mizigo mizito hata ya tani thelasini, kwenye engine za meli na hata treni...

Wamarekani kutokana na utajiri wao wanapenda wapate vyote.. Horse power na Torque.. Ndio masna utakuta magari ya Mmarekani yanatumia injini za Petrol na yana injini kubwa kama gari za Diesel.. Gari ya Petrol ya Mjapani yenye cc 2000 (rav 4) mmarekani ametengeneza gari kama hiyo na kuiwekea injini ya Petrol ya cc 4,000 (Jeep Cherokee)!
Asante sana kaka nimekuelewa vizuri sana nadhani hata kuna watu waliokuwa wanakejeri humu na wao wamefahamu ubarikiwe
 
Ningependa kujua pikpiki ikiwa speed 100 na gari ikawa speed 100 je hazitaachana zitaenda sawa? Nimeuliza hivyo kwa maana juzi kati nilikuwa nasafiri na gari land cruiser v8 petrol engen yenye speed 180 na kuna mwenzangu na yeye alikuwa na na land cruiser v8 diesel engen yenye speed 220 lakini alishindwa kumkata mwenye speed 180 hii ina maana gani ?
Wewe sio dereva, itanichukua muda kuamini kuwa wewe ni dereva mzuri! Naamini dereva mzuri hawezi kuwa mwepesi kiasi chako!
 
Mimi ninavyo jua . Speed ya gari sio lazima uiendeshe max. Speed but. Niongele driving speed iwe ist. Vx spacio. Yutong etc. Basi ikiwa speed 50 itapita ist speed 60 kama upepo. Kwa sababu tai kubwa then 1rotation yake sawa na 1.9 ya ist.hivyo ili iwe na mwendo sawa katika speed sawa lazima same type kama za msafara. Nawakilisha
Totally wrong!
 
Tofauti ya gari moja na nyingine haiko kwenye speed kama ambavyo unaiona kwenye dash board, bali iko kwenye vitu hivi vikubwa viwili:
Acceleration (Horse Power) na Torque (Uwezo wa kuvuta mzigo/Tela nk).
Gari nyingi za Petrol zina Horse Power nyingi hivyo kuwa na acceleration kubwa lakini pia zina Torque ndogo.
Yani unaweza ukakuta gari Mathalani GX mia ina Horse power (Uwezo wa Farasi 150) Lakini ukiweka ivute tela ya tani moja gari itashindwa kuondoka na huenda ikazimika). Lakini unakuta gari ya diesel mathalani Fuso ina Uwezo huo huo wa Farasi 150 lakini ukiiwekea ivute tela la tani moja italivuta kama mchezo na hata unaweza ukaondokea kwa gia namba tatu.

Ikija kwenye acceleration:
Ukiishindanisha GX mia na Fuso, GX mia itachomoka kama manyoya na itachukua sekunde chache (say 13 seconds) mpaka kufikia mathalani Speed 100 na wakati Fuso hilo hilo linaweza likachukua sekunde ishirini mpaka kufikia speed 100.

Tofauti ya hizo V8 mbili iko hapo...
V8 ya Petrol inachukua sekunde chache zaidi kuchanganya ukilinganisha na hiyo ya Diesel. Yani kama mmeondoka wote mkiwa na Initial velocity (Speed) Uo =0Km/hr na baada ya sekunde 6 ukapima final velociy Uv, utagundua kuwa ile gari ya Petrol ina uwezo mkubwa wa kuunguza mafuta na kubadili nishati ya mafuta kuwa nishati ya mwendo kuliko nishati a Diesel. Mafuta ya Diesel hayaungui haraka kama Petrol na ndio maana gari nyingi za Diesel zinafungwa kifaa kinachoitwa Turbo. Kifaa hichi husaidia kujaza hewa kwenye injini ili kuchochea combustion (moto) katika engine.
Moja ya kitu kinachosababisha diesel iwe na uwezo mkubwa ni kwa vile Diesel inaungua taratibu na inaungua katika joto kali zaidi kuliko Petrol. Kwa hiyo compresiion ratio ya hewa kwenye cylinder ya engine ya Diesel inaweza kuwa 1:10 wakati ile ya Petrol inaweza kuwa 1:7... Yani hii inamaanisha japo diesel inaungua taratibu, ule mgandamizo wa hewa unaweza kuwa mara kumi zaidi ukilinganishwa na hewa iliyoingia kwenye cylinder wakati ile ya Petrol inaweza kuwa na mgandamizo mara saba zaidi... Mngandamizo unapokuwa mkubwa ina maana kuwa lile pigo la cylinder kuizungusha cranck shafti linakuwa ni la nguvu zaidi.

Hapa ni kama vile katoto kadogo kaje kwa nguvu kakuzabe kofi moja alafu Mike Tyson akupige 'kikofi cha mahaba'. Kofi la nguvu la kale katoto kadogo linaweza likakuacha unatabasamu na wakati kofi moja dogo la Tyson linaweza kukufanya upelekwe hosiptali.
Kwa hiyo pigo moja la engine ya petrol ni sawa nakofi la katoto... Kana nguvu nyingi na kanaweza kakakimbia haraka kuja kukuzaba kofi lakini kofi lake halina nguvu sana. Diesel ni kama Tyson, ana nguvu kidogo ya kukimbia kuja kukuzaba kofi lakini akikupiga kofi lake dogo lina kuwa na nguvu nyingi sana.

Hivyo basi utaona mafuta ya Petrol yakitumika kwenye magari madogo na wakati mafuta ya Diesel yakitumiwa kwenye magari makubwa ambayo yanabeba mizigo mizito hata ya tani thelasini, kwenye engine za meli na hata treni...

Wamarekani kutokana na utajiri wao wanapenda wapate vyote.. Horse power na Torque.. Ndio masna utakuta magari ya Mmarekani yanatumia injini za Petrol na yana injini kubwa kama gari za Diesel.. Gari ya Petrol ya Mjapani yenye cc 2000 (rav 4) mmarekani ametengeneza gari kama hiyo na kuiwekea injini ya Petrol ya cc 4,000 (Jeep Cherokee)!

Heshima kwako mkuu
 
Hata ndege ya fast jet ikiwa kwenye speed 100 km/h (mfano), na gari baiskeli ikiwa kwenye speed 100 km/h na wote waka maintain hivyo basi wataenda sambamba!
 
Mwepesi kufeli! Hivi unadhani kwanini speed signs za barabarani zimekuwa aina moja kwa vyombo vyote!?

Speed 100 kwenye dashboard ni lazima iwe sawa na mwendo kasi wa barabarani, bila kujali ni chombo gani!
Mmmmh umejitahidi nilijua ulivyokuwa unaniambia mie sio dereva wewe itakuwa nauelewa mkubwa lakini naona unachokisema hata mie nakijua soma comment ya Kodofan nafikiri na wewe utaweza kunifunza zaidi
 
Mmmmh umejitahidi nilijua ulivyokuwa unaniambia mie sio dereva wewe itakuwa nauelewa mkubwa lakini naona unachokisema hata mie nakijua soma comment ya Kodofan nafikiri na wewe utaweza kunifunza zaidi
Kodofan ameeleza vizuri lakini hajaelewa swali lako (uzi wako), wewe umeuliza iwapo vyombo viwili tofauti vita maintain speed 100 je vitakuwa sambamba? Jibu langu ni ndio! Bila kujali nguvu na aina ya chombo, provided vime maintain speed moja kwenye dashboard, basi vitakuwa sambamba! mshana jr Isanga family
 
Kodofan ameeleza vizuri lakini hajaelewa swali lako (uzi wako), wewe umeuliza iwapo vyombo viwili tofauti vita maintain speed 100 je vitakuwa sambamba? Jibu langu ni ndio! Bila kujali nguvu na aina ya chombo, provided vime maintain speed moja kwenye dashboard, basi vitakuwa sambamba! mshana jr Isanga family
Basi wewe ndio haujaelewa swali langu vizuri nilianza kweli kuuliza hivyo niaelezea japo na mie naelewa kama hivyo ila kilichokuwa kinanichanganya ni kuhusu v8 ya petrol yenye speed 180 na v8 ya diesel yenye speed 220/kushindwa kuipita ya petrol japo yenyewe odo inasoma 220 soma vizuri swali utaelewa na ndio maana Kodofan amelielezea kwa kirefu
 
Back
Top Bottom