Ni nini tofauti ya speed katika vyombo vya moto

Tofauti ya gari moja na nyingine haiko kwenye speed kama ambavyo unaiona kwenye dash board, bali iko kwenye vitu hivi vikubwa viwili:
Acceleration (Horse Power) na Torque (Uwezo wa kuvuta mzigo/Tela nk).
Gari nyingi za Petrol zina Horse Power nyingi hivyo kuwa na acceleration kubwa lakini pia zina Torque ndogo.
Yani unaweza ukakuta gari Mathalani GX mia ina Horse power (Uwezo wa Farasi 150) Lakini ukiweka ivute tela ya tani moja gari itashindwa kuondoka na huenda ikazimika). Lakini unakuta gari ya diesel mathalani Fuso ina Uwezo huo huo wa Farasi 150 lakini ukiiwekea ivute tela la tani moja italivuta kama mchezo na hata unaweza ukaondokea kwa gia namba tatu.

Ikija kwenye acceleration:
Ukiishindanisha GX mia na Fuso, GX mia itachomoka kama manyoya na itachukua sekunde chache (say 13 seconds) mpaka kufikia mathalani Speed 100 na wakati Fuso hilo hilo linaweza likachukua sekunde ishirini mpaka kufikia speed 100.

Tofauti ya hizo V8 mbili iko hapo...
V8 ya Petrol inachukua sekunde chache zaidi kuchanganya ukilinganisha na hiyo ya Diesel. Yani kama mmeondoka wote mkiwa na Initial velocity (Speed) Uo =0Km/hr na baada ya sekunde 6 ukapima final velociy Uv, utagundua kuwa ile gari ya Petrol ina uwezo mkubwa wa kuunguza mafuta na kubadili nishati ya mafuta kuwa nishati ya mwendo kuliko nishati a Diesel. Mafuta ya Diesel hayaungui haraka kama Petrol na ndio maana gari nyingi za Diesel zinafungwa kifaa kinachoitwa Turbo. Kifaa hichi husaidia kujaza hewa kwenye injini ili kuchochea combustion (moto) katika engine.
Moja ya kitu kinachosababisha diesel iwe na uwezo mkubwa ni kwa vile Diesel inaungua taratibu na inaungua katika joto kali zaidi kuliko Petrol. Kwa hiyo compresiion ratio ya hewa kwenye cylinder ya engine ya Diesel inaweza kuwa 1:10 wakati ile ya Petrol inaweza kuwa 1:7... Yani hii inamaanisha japo diesel inaungua taratibu, ule mgandamizo wa hewa unaweza kuwa mara kumi zaidi ukilinganishwa na hewa iliyoingia kwenye cylinder wakati ile ya Petrol inaweza kuwa na mgandamizo mara saba zaidi... Mngandamizo unapokuwa mkubwa ina maana kuwa lile pigo la cylinder kuizungusha cranck shafti linakuwa ni la nguvu zaidi.

Hapa ni kama vile katoto kadogo kaje kwa nguvu kakuzabe kofi moja alafu Mike Tyson akupige 'kikofi cha mahaba'. Kofi la nguvu la kale katoto kadogo linaweza likakuacha unatabasamu na wakati kofi moja dogo la Tyson linaweza kukufanya upelekwe hosiptali.
Kwa hiyo pigo moja la engine ya petrol ni sawa nakofi la katoto... Kana nguvu nyingi na kanaweza kakakimbia haraka kuja kukuzaba kofi lakini kofi lake halina nguvu sana. Diesel ni kama Tyson, ana nguvu kidogo ya kukimbia kuja kukuzaba kofi lakini akikupiga kofi lake dogo lina kuwa na nguvu nyingi sana.

Hivyo basi utaona mafuta ya Petrol yakitumika kwenye magari madogo na wakati mafuta ya Diesel yakitumiwa kwenye magari makubwa ambayo yanabeba mizigo mizito hata ya tani thelasini, kwenye engine za meli na hata treni...

Wamarekani kutokana na utajiri wao wanapenda wapate vyote.. Horse power na Torque.. Ndio masna utakuta magari ya Mmarekani yanatumia injini za Petrol na yana injini kubwa kama gari za Diesel.. Gari ya Petrol ya Mjapani yenye cc 2000 (rav 4) mmarekani ametengeneza gari kama hiyo na kuiwekea injini ya Petrol ya cc 4,000 (Jeep Cherokee)!
In summary.
Ulikuwa una maanisha pound feet of torque (pulling power) ndo imesababisha gari yenye 140kph kushindwa kuipita gari yenye 100kph?
 
Ningependa kujua pikpiki ikiwa speed 100 na gari ikawa speed 100 je hazitaachana zitaenda sawa? Nimeuliza hivyo kwa maana juzi kati nilikuwa nasafiri na gari land cruiser v8 petrol engen yenye speed 180 na kuna mwenzangu na yeye alikuwa na na land cruiser v8 diesel engen yenye speed 220 lakini alishindwa kumkata mwenye speed 180 hii ina maana gani ?
Kilo 100 za pamba na kilo 100 za sukari ipi nzito?????
 
Naona unachanganya kati ya nadharia kasi(speed) na vifaa vya kupimia kasi. Kwa kasi ilele siyo ajabu vifaa vikaonesha kasi tofauti. Tofauti ya vipimo inatokana na sababu kadhaa ikiwemo obovu wa kifaa(assembly error),mazingira ya kupima( environmental error), mwisho random errors .
 
Ninachokwambia Huyu mwenzangu wote kulikuwa safari moja na alikuwa anataka kunipita ila alichemka na sio kwamba gari yake mbovu na ndio maana nikaanza kwa kuuliza speed 100 ya Pikipiki ni sawa na speed 100/ya gari
Huwezi kupata jibu sahihi bila kuhusisha huyo aliyekua anaendesha hiyo gari unayosema ilishindwa kukupita akwambie tatizo nini

Lakini baadhi ya sababu inaweza

1. gari ina speed 220 lakini hawezi kuendesha speed hiyo

2. Gari inaweza kuwa na speed 220 lakini ina matatizo ya kiufundi pengine inafika 120 haiongezeki zaidi
 
Hii akili au matope, hata kama gari ina speed 500 na nyingine ina speed 100 wa mia atakuwa mbele kama atakimbia spidi 80 na wa 500 akikimbia spidi 50 wa 500 ataachwa mbali sana.

We ndio hujaelewa
 
Tofauti ya gari moja na nyingine haiko kwenye speed kama ambavyo unaiona kwenye dash board, bali iko kwenye vitu hivi vikubwa viwili:
Acceleration (Horse Power) na Torque (Uwezo wa kuvuta mzigo/Tela nk).
Gari nyingi za Petrol zina Horse Power nyingi hivyo kuwa na acceleration kubwa lakini pia zina Torque ndogo.
Yani unaweza ukakuta gari Mathalani GX mia ina Horse power (Uwezo wa Farasi 150) Lakini ukiweka ivute tela ya tani moja gari itashindwa kuondoka na huenda ikazimika). Lakini unakuta gari ya diesel mathalani Fuso ina Uwezo huo huo wa Farasi 150 lakini ukiiwekea ivute tela la tani moja italivuta kama mchezo na hata unaweza ukaondokea kwa gia namba tatu.

Ikija kwenye acceleration:
Ukiishindanisha GX mia na Fuso, GX mia itachomoka kama manyoya na itachukua sekunde chache (say 13 seconds) mpaka kufikia mathalani Speed 100 na wakati Fuso hilo hilo linaweza likachukua sekunde ishirini mpaka kufikia speed 100.

Tofauti ya hizo V8 mbili iko hapo...
V8 ya Petrol inachukua sekunde chache zaidi kuchanganya ukilinganisha na hiyo ya Diesel. Yani kama mmeondoka wote mkiwa na Initial velocity (Speed) Uo =0Km/hr na baada ya sekunde 6 ukapima final velociy Uv, utagundua kuwa ile gari ya Petrol ina uwezo mkubwa wa kuunguza mafuta na kubadili nishati ya mafuta kuwa nishati ya mwendo kuliko nishati a Diesel. Mafuta ya Diesel hayaungui haraka kama Petrol na ndio maana gari nyingi za Diesel zinafungwa kifaa kinachoitwa Turbo. Kifaa hichi husaidia kujaza hewa kwenye injini ili kuchochea combustion (moto) katika engine.
Moja ya kitu kinachosababisha diesel iwe na uwezo mkubwa ni kwa vile Diesel inaungua taratibu na inaungua katika joto kali zaidi kuliko Petrol. Kwa hiyo compresiion ratio ya hewa kwenye cylinder ya engine ya Diesel inaweza kuwa 1:10 wakati ile ya Petrol inaweza kuwa 1:7... Yani hii inamaanisha japo diesel inaungua taratibu, ule mgandamizo wa hewa unaweza kuwa mara kumi zaidi ukilinganishwa na hewa iliyoingia kwenye cylinder wakati ile ya Petrol inaweza kuwa na mgandamizo mara saba zaidi... Mngandamizo unapokuwa mkubwa ina maana kuwa lile pigo la cylinder kuizungusha cranck shafti linakuwa ni la nguvu zaidi.

Hapa ni kama vile katoto kadogo kaje kwa nguvu kakuzabe kofi moja alafu Mike Tyson akupige 'kikofi cha mahaba'. Kofi la nguvu la kale katoto kadogo linaweza likakuacha unatabasamu na wakati kofi moja dogo la Tyson linaweza kukufanya upelekwe hosiptali.
Kwa hiyo pigo moja la engine ya petrol ni sawa nakofi la katoto... Kana nguvu nyingi na kanaweza kakakimbia haraka kuja kukuzaba kofi lakini kofi lake halina nguvu sana. Diesel ni kama Tyson, ana nguvu kidogo ya kukimbia kuja kukuzaba kofi lakini akikupiga kofi lake dogo lina kuwa na nguvu nyingi sana.

Hivyo basi utaona mafuta ya Petrol yakitumika kwenye magari madogo na wakati mafuta ya Diesel yakitumiwa kwenye magari makubwa ambayo yanabeba mizigo mizito hata ya tani thelasini, kwenye engine za meli na hata treni...

Wamarekani kutokana na utajiri wao wanapenda wapate vyote.. Horse power na Torque.. Ndio masna utakuta magari ya Mmarekani yanatumia injini za Petrol na yana injini kubwa kama gari za Diesel.. Gari ya Petrol ya Mjapani yenye cc 2000 (rav 4) mmarekani ametengeneza gari kama hiyo na kuiwekea injini ya Petrol ya cc 4,000 (Jeep Cherokee)!
Nimenufaika
 
Kilo 100 za pamba na kilo 100 za sukari ipi nzito?????
Tabu ya mtanzania akiulizwa swali na yeye anauliza swali hii yote ulete dhana ya kubishana tu kama unadhani nimeuliza swali la rahisi ungejibu kwa hoja sio hiki unachotaka kukifanya
 
Hii ni balaa, nadhani kuna haja ya JF kuwe na jukwaa la Sayansi kamili,

Kilo moja ya mawe na kilo ya pamba ipi nzito?, speed ya 100km/hrs kwa chombo chochote ziko sawa
 
Hii ni balaa, nadhani kuna haja ya JF kuwe na jukwaa la Sayansi kamili,

Kilo moja ya mawe na kilo ya pamba ipi nzito?, speed ya 100km/hrs kwa chombo chochote ziko sawa
mmmmh!!! 80km/h ya bus na 80km/h ya bodaboda vyote vikiwa vimechanganya inamaana vitakuwa sawa!?
 
mm bado sijakuelewa na ninaona kama wachangiaji wanachanganya mambo?? hiyo gari yenye speed kubwa 220 ilishindwa kuwapita kwa sababu haikuwa au haikufikia speed zaidi yamliyokuwanayo nyie.

ila kama gari zote zitaendeshwa kwa speed 1 zikiwa zishakolezwa speed labda 80 mwenye gari ya speed 220 na 180 mkazipa umbali point A mpaka B kwa mda fulani zitembee kwa speed hiyo bila kubadili basi zote zitafika point B kwapamoja.

lakini mkisema wote muanze point A kwa speed 0 na kufika point B kuna mmoja anaweza kuwahi kufika kwa factor alizozungumzia mdau hapo juu??


labda tungejaribu kujua na kufafanua utofauti wa speed zinanzo andikwa kwenye dash board huwa unakuwa hasa kwenye nini?? maana kuna magari yanakuwa na engine ya aina moja lkn speed inakuwa tofauti??
 
Tofauti ya gari moja na nyingine haiko kwenye speed kama ambavyo unaiona kwenye dash board, bali iko kwenye vitu hivi vikubwa viwili:
Acceleration (Horse Power) na Torque (Uwezo wa kuvuta mzigo/Tela nk).
Gari nyingi za Petrol zina Horse Power nyingi hivyo kuwa na acceleration kubwa lakini pia zina Torque ndogo.
Yani unaweza ukakuta gari Mathalani GX mia ina Horse power (Uwezo wa Farasi 150) Lakini ukiweka ivute tela ya tani moja gari itashindwa kuondoka na huenda ikazimika). Lakini unakuta gari ya diesel mathalani Fuso ina Uwezo huo huo wa Farasi 150 lakini ukiiwekea ivute tela la tani moja italivuta kama mchezo na hata unaweza ukaondokea kwa gia namba tatu.

Ikija kwenye acceleration:
Ukiishindanisha GX mia na Fuso, GX mia itachomoka kama manyoya na itachukua sekunde chache (say 13 seconds) mpaka kufikia mathalani Speed 100 na wakati Fuso hilo hilo linaweza likachukua sekunde ishirini mpaka kufikia speed 100.

Tofauti ya hizo V8 mbili iko hapo...
V8 ya Petrol inachukua sekunde chache zaidi kuchanganya ukilinganisha na hiyo ya Diesel. Yani kama mmeondoka wote mkiwa na Initial velocity (Speed) Uo =0Km/hr na baada ya sekunde 6 ukapima final velociy Uv, utagundua kuwa ile gari ya Petrol ina uwezo mkubwa wa kuunguza mafuta na kubadili nishati ya mafuta kuwa nishati ya mwendo kuliko nishati a Diesel. Mafuta ya Diesel hayaungui haraka kama Petrol na ndio maana gari nyingi za Diesel zinafungwa kifaa kinachoitwa Turbo. Kifaa hichi husaidia kujaza hewa kwenye injini ili kuchochea combustion (moto) katika engine.
Moja ya kitu kinachosababisha diesel iwe na uwezo mkubwa ni kwa vile Diesel inaungua taratibu na inaungua katika joto kali zaidi kuliko Petrol. Kwa hiyo compresiion ratio ya hewa kwenye cylinder ya engine ya Diesel inaweza kuwa 1:10 wakati ile ya Petrol inaweza kuwa 1:7... Yani hii inamaanisha japo diesel inaungua taratibu, ule mgandamizo wa hewa unaweza kuwa mara kumi zaidi ukilinganishwa na hewa iliyoingia kwenye cylinder wakati ile ya Petrol inaweza kuwa na mgandamizo mara saba zaidi... Mngandamizo unapokuwa mkubwa ina maana kuwa lile pigo la cylinder kuizungusha cranck shafti linakuwa ni la nguvu zaidi.

Hapa ni kama vile katoto kadogo kaje kwa nguvu kakuzabe kofi moja alafu Mike Tyson akupige 'kikofi cha mahaba'. Kofi la nguvu la kale katoto kadogo linaweza likakuacha unatabasamu na wakati kofi moja dogo la Tyson linaweza kukufanya upelekwe hosiptali.
Kwa hiyo pigo moja la engine ya petrol ni sawa nakofi la katoto... Kana nguvu nyingi na kanaweza kakakimbia haraka kuja kukuzaba kofi lakini kofi lake halina nguvu sana. Diesel ni kama Tyson, ana nguvu kidogo ya kukimbia kuja kukuzaba kofi lakini akikupiga kofi lake dogo lina kuwa na nguvu nyingi sana.

Hivyo basi utaona mafuta ya Petrol yakitumika kwenye magari madogo na wakati mafuta ya Diesel yakitumiwa kwenye magari makubwa ambayo yanabeba mizigo mizito hata ya tani thelasini, kwenye engine za meli na hata treni...

Wamarekani kutokana na utajiri wao wanapenda wapate vyote.. Horse power na Torque.. Ndio masna utakuta magari ya Mmarekani yanatumia injini za Petrol na yana injini kubwa kama gari za Diesel.. Gari ya Petrol ya Mjapani yenye cc 2000 (rav 4) mmarekani ametengeneza gari kama hiyo na kuiwekea injini ya Petrol ya cc 4,000 (Jeep Cherokee)!
this is best answer ever;;; asipoelewa tena na hapa basi tena
 
Tofauti ya gari moja na nyingine haiko kwenye speed kama ambavyo unaiona kwenye dash board, bali iko kwenye vitu hivi vikubwa viwili:
Acceleration (Horse Power) na Torque (Uwezo wa kuvuta mzigo/Tela nk).
Gari nyingi za Petrol zina Horse Power nyingi hivyo kuwa na acceleration kubwa lakini pia zina Torque ndogo.
Yani unaweza ukakuta gari Mathalani GX mia ina Horse power (Uwezo wa Farasi 150) Lakini ukiweka ivute tela ya tani moja gari itashindwa kuondoka na huenda ikazimika). Lakini unakuta gari ya diesel mathalani Fuso ina Uwezo huo huo wa Farasi 150 lakini ukiiwekea ivute tela la tani moja italivuta kama mchezo na hata unaweza ukaondokea kwa gia namba tatu.

Ikija kwenye acceleration:
Ukiishindanisha GX mia na Fuso, GX mia itachomoka kama manyoya na itachukua sekunde chache (say 13 seconds) mpaka kufikia mathalani Speed 100 na wakati Fuso hilo hilo linaweza likachukua sekunde ishirini mpaka kufikia speed 100.

Tofauti ya hizo V8 mbili iko hapo...
V8 ya Petrol inachukua sekunde chache zaidi kuchanganya ukilinganisha na hiyo ya Diesel. Yani kama mmeondoka wote mkiwa na Initial velocity (Speed) Uo =0Km/hr na baada ya sekunde 6 ukapima final velociy Uv, utagundua kuwa ile gari ya Petrol ina uwezo mkubwa wa kuunguza mafuta na kubadili nishati ya mafuta kuwa nishati ya mwendo kuliko nishati a Diesel. Mafuta ya Diesel hayaungui haraka kama Petrol na ndio maana gari nyingi za Diesel zinafungwa kifaa kinachoitwa Turbo. Kifaa hichi husaidia kujaza hewa kwenye injini ili kuchochea combustion (moto) katika engine.
Moja ya kitu kinachosababisha diesel iwe na uwezo mkubwa ni kwa vile Diesel inaungua taratibu na inaungua katika joto kali zaidi kuliko Petrol. Kwa hiyo compresiion ratio ya hewa kwenye cylinder ya engine ya Diesel inaweza kuwa 1:10 wakati ile ya Petrol inaweza kuwa 1:7... Yani hii inamaanisha japo diesel inaungua taratibu, ule mgandamizo wa hewa unaweza kuwa mara kumi zaidi ukilinganishwa na hewa iliyoingia kwenye cylinder wakati ile ya Petrol inaweza kuwa na mgandamizo mara saba zaidi... Mngandamizo unapokuwa mkubwa ina maana kuwa lile pigo la cylinder kuizungusha cranck shafti linakuwa ni la nguvu zaidi.

Hapa ni kama vile katoto kadogo kaje kwa nguvu kakuzabe kofi moja alafu Mike Tyson akupige 'kikofi cha mahaba'. Kofi la nguvu la kale katoto kadogo linaweza likakuacha unatabasamu na wakati kofi moja dogo la Tyson linaweza kukufanya upelekwe hosiptali.
Kwa hiyo pigo moja la engine ya petrol ni sawa nakofi la katoto... Kana nguvu nyingi na kanaweza kakakimbia haraka kuja kukuzaba kofi lakini kofi lake halina nguvu sana. Diesel ni kama Tyson, ana nguvu kidogo ya kukimbia kuja kukuzaba kofi lakini akikupiga kofi lake dogo lina kuwa na nguvu nyingi sana.

Hivyo basi utaona mafuta ya Petrol yakitumika kwenye magari madogo na wakati mafuta ya Diesel yakitumiwa kwenye magari makubwa ambayo yanabeba mizigo mizito hata ya tani thelasini, kwenye engine za meli na hata treni...

Wamarekani kutokana na utajiri wao wanapenda wapate vyote.. Horse power na Torque.. Ndio masna utakuta magari ya Mmarekani yanatumia injini za Petrol na yana injini kubwa kama gari za Diesel.. Gari ya Petrol ya Mjapani yenye cc 2000 (rav 4) mmarekani ametengeneza gari kama hiyo na kuiwekea injini ya Petrol ya cc 4,000 (Jeep Cherokee)!
yaaani kwa maelezo ya huyu mtu kamaliza maswali yote, big up kwa ushirikiano.
 
Unapotosha maana halisi ya mada, 100kph na 90 kph logical n practically mwenye 100kph atakuwa speed zaid
Namaanisha mmoja kumpita mwingine! Mwenye speed 100kph atakuwa mbele ya mwenye 90kph! Lkn kwa mfano gari inaposlip c itasoma speed kubwa lkn iko palepale? Kwa hiyo bc pikpik ni nyepesi inapokinzana na upepo kuna nguvu inapotea kwa kutokukanyaga ardhi kwa %100 kutokana na wepesi wake! Lkn gari kutokana na ukubwa wake itakuwa nguvu inayopotea ni kidogo kulinganisha na pikpik! Pia tunaongelea wakati wa mwendo na c kwa uwezo wa speed ya gari kwani gari inaweza kuwa na uwezo wa 220kph lkn dreva wakati huo akaenda mwendo wa 80kph!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom