Chuma solo guy
Member
- Oct 13, 2015
- 16
- 18
Habari waungwana naomba msaada kwa mwenye kuelewa maana ya ndoto hii mara nyingi nimekuwa nikiota naendesha vyombo vya moto kama vile gari ya abiria au pikipiki huku nimepakia abiria nyuma.
Sometime naota narusha ndege angani yenye abiria wengi wakati huo sina experience yoyote na vyombo vya moto.
Hii ndoto inajirudia kwa miaka mingi sasa
Sometime naota narusha ndege angani yenye abiria wengi wakati huo sina experience yoyote na vyombo vya moto.
Hii ndoto inajirudia kwa miaka mingi sasa