CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Namjua huyu.....jirani yangu aliingia mteo kama huohuo......akagundua kumbe mumewe karudishwa kijijini kwao akamalizie siku zake,baada ya kuugua muda mrefu.....nadhani umenielewa....watchout
Elia issue niliogundua hapa ni kwamba usha jua kua hafai kua nae karibu na ni dhahiri kua anakuvutia in one way or another uwe nae hasa kwa njia ya kuiba - mumewe kuwa msafiri kama advantage... Ni wanawake wachache walo olewa wana guts ya kujitongozesha kwa wanaume na kama anafanya hivyo kwako naomba ujue wee sio mtu wa kwanza... na bora hata ungekua na wife ... labda angekua na soni kidogo... Hivyo kweli la kufanya la kwanza ni kuacha kuambatana nae na kumchukua kazini as if tayari wewe ndo mumewe.... Kwanza ni hatari hata kama mlikua hamfanyi hivyo wengi watafikiri hivyo... na mjini hapa.... habari zinatembea kwa kasi ya ajabu...
Inauma mkuu ndio maana sitaki kumla huyu dada isitoshe sijaoa lakini hata mimi kazi zangu huwa zina husisha kusafiri safiri kidogoElia ndugu yangu! tunakupenda sana, hatupo tayari kukupoteza, kuna msemo unasema MSITU UNA MASIKIO! ni hadithi ya zamani lkn lengo ni kwamba unavyompa lifti watu wanakuona! ingawa nyie mtadhani hamuonekani lkn mnapishana au kukaa foleni na daladala mle ndani watu kibao hujui nani anakuona na anamjua huyo mke wa mtu. so please mwepuke sana huyo dada ingawa ni mke wa mtu lkn anaonekana si mwaminifu ktk ndoa yake. mapenzi ni km chafya baba inapokuja huwezi kuizuia ukimlamba huyo dada atataka akumiliki na hapo ndo atakapokuaribia kwa mchumba wako. mwisho jaribu kujiweka kwenye nafasi ya mme wa huyo dada, umesafiri halafu mkeo anajitongozesha kwa mwanaume mwingine, roho yako itaumaje?
Nimekupata Okada, thats why nimekuja kwenu nipate inputs kabla sijafa na kuzikwa au kupendezesha headlines za magazeti ya akina shigongoThis reminds me of one story:
Ukimtamani Mke/mume wa mtu wewe tayari ni matehemu mtarajiwa!
UTAKAPOTEMBEA NA MKE/MUME WA MTU, wewe ni marehemu, uko ndani ya jeneza, ndugu na jamaa wameshatoa last respect na wanasubiri kwenda kukuzika!
Ask yourself, does she/he worth that sacrifice?
Jamii haitashangaa kusikia umechomwa kisu/kupigwa risasi au kuuawa kwa njia yoyote ile, kwa sababu ya kutembea na mke wa mtu. watasema umejitakia!
Mkuu Elia, hadi sasa wewe ni marehemu mtarajiwa, next step, marehemu na mengineyo! Usione vimeelea, vimeubwa!
Nilimpa lift jumatano asubuhi wiki iliyopita. Anasoma chuo cha usimamizi wa hotel. Aliomba namba yangu ili ikiwezekana niwe nampa lifti siku moja moja hasa nyakati za asubuhi na jioni. Siku hiyo Jioni alinipigia simu kuniuliza kama nimetoka kazini ili nimsaidie lift. Bahati nzuri nilikuwa karibu kutoka ofcn, akaopt kunisubiri. On ourway home Aliniuliza ninaishi na nani, nikamjibu na wadogo zangu na nina mchumba yupo hapahapa Bongo ila hatuishi nae. Akasema yeye anaishi na mumewe na wana mototo mmoja wa miaka minne, mumewe ni mtu wa kusafiri sana safari za mikoani. Lakini Kuanzia hiyo jtano she keep on trying to be close to me, also she asked my weekend plans. I managed to avoid meeting with her this weekend but Im not sure if my strength to avoid her forever will persist longer coz she is so cute. Sina uhakika kama anataka mahusiano lakini ni ngumu kumkatalia akitaka. The way she talk, the way she look, the way she ask, her figure Uhhhhh! dud Nifanyeje na huyu mtu? Leo nilipanga sinta mpa-lift sikupokea hata simu yake asubuhi lakini nilipofika kituoni ikawa kama mbwa mbele ya chatu.
wewe ndo umempa nafas ya kuendelea na mambo hayo ebu mchunie kavukavu uone itakuajeYes nina mchumba ndio maana nataka nisiingie ndani zaidi kuharibu. but she keep on texting and calling me
Nimekupata Okada, thats why nimekuja kwenu nipate inputs kabla sijafa na kuzikwa au kupendezesha headlines za magazeti ya akina shigongo[/QUOTE]
Now you are talking senses!