BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Imagine kama kuna mwanaume anamuwazia hivyo mchumba wako utajisikiaje?
Muhimu ni kujiweka mbali na huyo mke wa mtu..Hiyo ni tamaa hivyo basi kabla hujajutia jiwekeee tahadhari. Ridhika na mchumba wako, muone ni more cute than huyo mke wa mtu..
Muhimu ni kujiweka mbali na huyo mke wa mtu..Hiyo ni tamaa hivyo basi kabla hujajutia jiwekeee tahadhari. Ridhika na mchumba wako, muone ni more cute than huyo mke wa mtu..