Tonny
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 216
- 43
Tatizo wachangiaji wengi hamjui kuwa kuwa hapa udom kuna kikundi cha wanafunzi wachache wanaoishobokea ccm na cku zote hupewa airtime ya kutosha ktk media kwa upuuz wowote wanaosema either kwa kuponda upinzan au kuicfia ccm so nawaomba mnapogeneralize na kuponda wanaudom wote mzingatie hlo cz kuna usemi usemao 'no research no right 2 speak'