Nguvu kubwa zimetumika? Haya ndo wanaelezewa pale UDOM sasa hivi.

Nadhani kuna haja ya kupata ukweli. Wanafunzi walitoa muda wa siku ngapi kwa Uongozi wa Chuo kutekeleza madai yao? Je, mtoa habari hizi kuna sehemu yeyote amegusia kitendo cha waandaaji wa mgomo kuwalazimisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza na mwaka wa pili waende kushiriki mgomo huo? Mbona sijasikia kuhusishwa kwa mwanasiasa mmoja mwenye taaluma ya sheria ktk sakata hili?
 
Mkuu wa Mkoa alipoenda Chuoni kutaka kuongea na wanafunzi alipokelewa na wanafunzi waliokuwa wakiimba wimbo wa Taifa huku wakionesha alama ya Chama fulani cha siasa, je, mtoa habari hii anayajua haya? Kayaandika?
 
Je, mtoa habari anajua nini kinachoendelea sasa hivi UDOM? For your information, Rais wa Wanafunzi ametoa taarifa kuwa wanafunzi wote waingie madarasani kesho, na ifikapo saa kumi na mbili jioni Waziri Kawambwa ataongea nao wote.
 
Ni dhahiri taarifa za kupoteza maisha kwa wanafunzi zilitolewa mtu. Nashauri aliyetuletea taarifa ktk JF aulize source yake ukweli wa habari hii ili kulinda heshima yake. Tukipata majina ya waliokufa itatusaidia kupeleka rambirambi zetu pia, kama sio kuhudhuria mazishi.
 
Nitafurahi sana kama mjadala huu utaendelea kesho ili tuweke kumbukumbu sahihi ya huko tunakokwenda maana tusijekimbiana.
 
Chechetuka said:
Hivi waliogoma ni wanafunzi wa Chuo wote au ni wale wa Sociology tu? Kiongozi wao ni muumini wa Chama gani?
Waliogoma ni wa college of humanities na social sciences. Kiongozi wao wa wapi? Ebu fafanua. Chanzo cha mgomo ni madai juu ya field work ambayo wanafunzi wamekua hawaipata. Tatizo limetokea baada ya chuo kuwadai wanafunzi ripoti za field work ilhali chuo wala serikali (kupitia HSELB) haijatoa pesa za field. Wahitimu wa kwanza wa college iyo nao hawakwenda field. Wanafunzi wa sasa wamegoma ili kudai haki yao.
 
Wakati tunafanya yote haya tusisahau kuwa UDOM ina idadi kubwa sana ya watoto masikini ambao kwa juhudi zake binafsi Rais Kikwete aliona ni jambo la maana kuanzisha Chuo hicho ili kuwasaidia vijana wa kitanzania ili waje kulitumikia Taifa lao baadae.
 
...next time kabla ya kugoma, tengenezeni mabomu ya petroli kwenye chupa.....wakija hao 'angels of death' wa CCM (FFU) inakuwa jino kwa jino na pua kwa pua!!! hadi vurugu zinaisha kila upande unaenda kuzika maiti zake!!!!

Acha mabomu ya Petroli kuna Teknolojia rahisi ya kutumia mbolea ya chumvi chumvi kutengeneza baruti, bomu lake hatoki FFU hapo.
Hata bomu la rangi ya kucha tu ni hatari sana.
Kuna ile dawa ya tetekuwanga ikichangwanya na kemikali fulani huo moto FFU watatafutana.
Wengine wanatumia Plastic Pipes,Gas ya kupikia na utambi wa kupasulia mawe kutengeneza bomu.

Maji ya kuwasha ni rahis sana kuyatengeneza
Changanya maji ya mkonge na juice ya pilipili kichaa jaza ndani ya puto saizi ya ngumi, kama puto hakuna tumia Kondom.
Watu elfu kila mtu akiwa na maputo matatu na kuwapa mvua ya maji ya kuwasha shughuli.

This is Boo shit we have to elevate the fight to a new level, they have been asking for it for a long time.
 
Chechetuka said:
kwa juhudi zake binafsi Rais Kikwete aliona ni jambo la maana kuanzisha Chuo hicho
Mkuu husipotoshwe na propaganda za mkwere. UDOM ulikua ni mpango wa muda mrefu wa serikali uliobuniwa na Mwalimu,hao waliofuata,na badae mkwere wamefanya kutekeleza tu huo mpango.
 
Tofauti na wanafunzi wa college of education na wale wa informatic ambao huenda field/mafunzo kwa vitendo kuanzia mwaka wa kwanza, wanafunzi wengi wa humanities and social sciences hawaendi field isipokua kozi chache tu ndio wanaenda field. Mpaka sasa kuna wanafunzi wamegraduate mwaka huu lakini hawajawahi kukanyaga field na bado kuna wengine wako mwaka wa mwisho lakini hawajui field ni kitu gani. Issue nyingine ni shida ya maji na bei kubwa ya chakula tofauti na vyuo vingine. Wakati UDSM cafeteria za chuo bei za vyakula zinaanzia sh. 800, UDOM bei ya chini ni sh. 1000.
 
Kuna mwisho wa kila dikteta katika dunia hii na huwa mwisho mbaya.NA one day tutapata uhuru wetu.
 
Nimeongea na mwanafunzi mmoja pale chuoni ndo haya amenidhibitishia ijapokuwa wenye fani (waandishi wa habari) confirm zaidi;
  • Wanafunzi 2 wamekufa, hii inahitaji udhitisho.
  • wameporwa simu, fedha, viatu na kadi za ATM (na password walilazimishwa). Hili nadhibitisha kwa kuwa wakati napiga akapokea japo sio kuongea labda harakatti za kuzima, nilisikia binti yetu akiambiwa toa na hio na hizo ghafla simsikii tena japo baadae alitafuta namna nyingine ya kuwasiliana.
  • Wanafunzi wamebakwa. nilimbishia lakini akaniambia wewe upo Kahama na mimi nipo ndani ya eneo la tukio na huenda wanafunzi wengine wakajiua maana depression imetawala. Inahitaji udhibitisho.
  • Wanafunzi zaidi ya 600 wameshikiliwa. Inahitaji udhibitisho.
Aliniambia kuwa hata RC wa dodoma ameshindwa kuelezea nguu iliotumika VS kama wangewaachia akakutana na mfagiaji wa ofisi ya Pinda, je haya yangetokea?

Huenda FFU walielekeza hasira yao kwa UDOM kujifanya kimbelembele jwa CCM lakini nguvu hii ni zaidi ya hapo. Tujadili.

Kuhusu kubakwa, nimethibitishiwa na wanafunzi kadhaa waliopo chuoni...
 
Back
Top Bottom