Leo Mh. Ndugai amebanwa na wabunge kwa makosa ya ubabe alioufanya Ijumaa kubadili sheria ya ant-money roundering.
AG amemuabisha pia kwa kuonyesha kuwa alichemka. Bravo Mnyika and Machali.
Ole sendeka kwisha kazi, ameanza kujiua kisiasa mwenyewe
Ubabe hakufanya Ndungai..ni jamaa mwenye utindio wa akili Mabuba..jamaa mwenye miwani ya mbao