Raia Mwema
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 535
- 79
Aliyetoa habari hii kaongeza chumvi ndio maana anashindwa kueleza kwa kina
umeona nilichoandika wewe mbwigike?Imekuuma wanaCCM kuteta.
nimeona mkuu,siku hiyo mwenyekiti alikuwa mabumba.mhe. lissu amefafanua juu ya kifungu ambacho AG alikuwa akikizungumzia kutetea utaratibu uliofanywa.Lissu Oyeeeeeeeeeeeeh
Kwamba mh. Spika alibadili maamuzi ya Bunge bila kufuata kanuni stahili. Ni kwamba wakati bunge session ijumaa bunge kama kamati lilipitisha kutopitisha mswada flani (siukumbuki) na kupigiwa kura na Wabunge wote. Bi Spika yeye kwa makusudi ama kupitiwa maana kanuni anazijua, aliamua kama Spika kuupitisha kwa jinsi alivyoona yeye binafsi unafaa bila kuhoji tena Wabunge. Sasa leo Machali, Mnyika na Kafulila wamekomalia hadi ikabidi mh. Ndugai akiri na kuahidi kulishughulikia
acha kutudanganya mkuu,hayohayo yaliyopitishwa na bunge hilohilo leo yamerudishwa bungeni ili yafanyiwe marekebisho,huoni kuwa bado kuna tatizo ktk bunge letu hususani ktk upitishaji wa hoja kwa njia ya kukomoana?bunge haliwezi kukurupuka kama miswada haijakamilika no bora kuahirisha kuliko kuileta bungeni hivyo hivyo.
hakubanwa kaelezwa kwamba alivunja kanuni alitakiwa baada ya kamati kujadili Ndugai angerudhisha kwa wabunge wote jambo ambalo hakufanya. Ni mambo ya kanuni si kubanwa.
Wabunge wa CCM wameamua kugoma ati kwa sababu Rais amekubali mapendekezo ya CDM kuhusu muswaada wa sheria ya mabadiliko ya Katiba na suala la kugomea posho zao. Kwa hiyo, wamesema miswaada ya Serikali itakwamishwa Bungeni.
Aliyetoa habari hii kaongeza chumvi ndio maana anashindwa kueleza kwa kina
Baada ya maswali na majibu leo hakuna hoja yeyote ya serikali itakayojadiliwa naona wabunge wamegoma na serikali inaogopa kuleta miswaada.bunge litahairishwa saa nne asubuhi posho kibindoni
Ijumaa iliyopita, Bunge lilipitisha marekebisho ya sheria ya fedha haramu. Serikari ilipendekeza adhabu ya jela miaka 3, Mh. Mnyika akapendekeza iongezeke na bunge kuridhia na kupitisha. Ghafra Ole Sendeka akakurupuka na kuleta pendekezo kwa mwenyekiti wafute kwenye hansadi mabadiliko aliyopendekeza Mh. Mnyika. Mwenyekiti bila kulishirikisha bunge akaagiza hansadi ifutwe yote yaliyochangiwa na Mnyika yabaki ya serikali. Na yakafutwa.
Leo
Mh Machali na Mh Mnyika walitaka mwongozo wa spika juu matumizi ya kiti kubadili maamuzi halali ya bunge. Olesendeka akatoa pumba zake eti walitakiwa wawasilishe kwa Katibu wa Bunge. AG akaona tatizo hilo ila akataka kulikwepesha kwa kutosema kama Kiti kilikosea kubadili bali eti serikali inataka ilete mabadiliko yale yajadiliwe tena ili kubariki aliyoamua Mwenyekiti. AG kamponda Olesendeka.
Mh. Lisu katolea ufafanuzi bila kuuma maneno kuwa hoja ni je Kiti kinauhalali wa kufuta maamuzi ya Bunge na kurekebisha sheria iliyopitishwa?
hakubanwa kaelezwa kwamba alivunja kanuni alitakiwa baada ya kamati kujadili Ndugai angerudhisha kwa wabunge wote jambo ambalo hakufanya. Ni mambo ya kanuni si kubanwa.
Baada ya maswali na majibu leo hakuna hoja yeyote ya serikali itakayojadiliwa naona wabunge wamegoma na serikali inaogopa kuleta miswaada.bunge litahairishwa saa nne asubuhi posho kibindoni
Ndugai amebanwa na nani?...........Baada ya maswali na majibu leo hakuna hoja yeyote ya serikali itakayojadiliwa naona wabunge wamegoma na serikali inaogopa kuleta miswaada.bunge litahairishwa saa nne asubuhi posho kibindoni