wamegoma kwa kuwa posho hata ile ya zamani imefutwaHii ajira ya ubunge nzuri sana unafanya kazi masaa mawili ukala 350,000/=
Imekuuma wanaCCM kuteta.Huyu jamaa huyu!!!''''''......hili tumbo huwa anakula nini huyu!!!
Kaka hakuna ishu bungeni na siku imeisha posho imetuna kwenye akaunti. Kuna madaktari wanakesha usiku wakiwa zamu asubui elfu kumi tena mpaka wapige mayowe ndo elfu kumi wanapewa. Na asubui mzigo kama kawaida. Hawa jamaa leo masaa ma 2 tu hamna ishu. Nchi mbovu sana hiiBunge la Jf mbona limeanza Udaku, bungeni kunaendelea vema tu.
Eleza vizuru usiwe na pupa tupu kwa ajili yako, tupe habari kamili