Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,513
- 113,642
- Thread starter
- #81
Mwenyekiti wa Chadema Mhe. Freeman Mbowe, aliwahasisha Chadema kususia uchaguzi wa serikali za mitaa, wakasusa, CCM wakatwaa ushindi wa mezani.
Katika bandiko hili nililaumiwa sana.
Jana pale Mwanza, Mhe. Mbowe kaomba maridhiano, swali ni jee Chadema waliposusa, walisusa ili wapate nini kama mwisho wa siku unakuja kubembeleza kuomba maridhiano?.
Siku zote haki haiombwi wala hailetwi kwenye kisahani cha chai, huwa inapiganiwa!.
P
Katika bandiko hili nililaumiwa sana.
Jana pale Mwanza, Mhe. Mbowe kaomba maridhiano, swali ni jee Chadema waliposusa, walisusa ili wapate nini kama mwisho wa siku unakuja kubembeleza kuomba maridhiano?.
Siku zote haki haiombwi wala hailetwi kwenye kisahani cha chai, huwa inapiganiwa!.
P