Mwangaza
Senior Member
- Feb 26, 2008
- 198
- 64
Safi Pasco kwa ungwana huo.
Binafsi nimefurahishwa na uamuzi wako wa kiungwana, kwani siku zote muungwana hukubali kukosolewa na kujifunza kutokana na makosa yake. BIG UP !!
Lakini pia bado hujamuelewa vizuri Mh. Mbowe kuhusu kumtambua Rais.
Mh. Mbowe alisema kwa mujibu wa katiba JK ndio Rais na hawawez kupinga popote kutoka na katiba ya sasa, na wao wanAchopinga ni mfumo mzima uliompa ushind JK na sio urais wa JK. hiki ndicho walichotokea bungeni..KUPINGA MFUMO MZIMA ULIOMPA URASI JK NA SIO KUPINGA URASI WA JK. Hili Mh. Mbowe alishalirudia kulisema mara kwa mara, hata kwenye mdahalo na Mh. Hamad alilisema hili. Pia Dr. Slaa alilisema hivyo hivyo. Hii ina maana kwamba shinikizo la kutoka bungeni ni kushinikiza mabadiriko ya mfumo wa uchaguzi,uundwaji wa tume na kubadirishwa kwa katiba, ..KUTOKA KULE BUNGENI HAKUKUWA KUSHINIKIZA JK AJIUZULU..Pasco naomba ULEWE VIZURI HAPO.
Pamoja ktk mchakato wa mabadiriko.
MWANGAZA.
Binafsi nimefurahishwa na uamuzi wako wa kiungwana, kwani siku zote muungwana hukubali kukosolewa na kujifunza kutokana na makosa yake. BIG UP !!
Lakini pia bado hujamuelewa vizuri Mh. Mbowe kuhusu kumtambua Rais.
Mh. Mbowe alisema kwa mujibu wa katiba JK ndio Rais na hawawez kupinga popote kutoka na katiba ya sasa, na wao wanAchopinga ni mfumo mzima uliompa ushind JK na sio urais wa JK. hiki ndicho walichotokea bungeni..KUPINGA MFUMO MZIMA ULIOMPA URASI JK NA SIO KUPINGA URASI WA JK. Hili Mh. Mbowe alishalirudia kulisema mara kwa mara, hata kwenye mdahalo na Mh. Hamad alilisema hili. Pia Dr. Slaa alilisema hivyo hivyo. Hii ina maana kwamba shinikizo la kutoka bungeni ni kushinikiza mabadiriko ya mfumo wa uchaguzi,uundwaji wa tume na kubadirishwa kwa katiba, ..KUTOKA KULE BUNGENI HAKUKUWA KUSHINIKIZA JK AJIUZULU..Pasco naomba ULEWE VIZURI HAPO.
Pamoja ktk mchakato wa mabadiriko.
MWANGAZA.